SHIKRIKA LA UMEME TANZANIA TANESCO MKOA WA MOROGORO.
TAARIFA YA KUOMBA RADHI KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME BAADHI YA MAENEO YA MKOA WA MOROGORO.
Shirika la umeme Tanesco linaomba radhi wateja wetu wanaotumia laini ya Tungia,Mzinga,Kilosa,Mikese kwa kukosa huduma ya Umeme usiku wa kuamkia leo kutokana na changamoto zilizojitokza:
Siku :Jumanne.
Tarehe 31/08/2021.
Sababu :hitilafu iliyosababisha kosekana kwa huduma ya Umeme Usiku wa kuamkia leo kutokana na changamoto iliyojitokeza wakati wa kuunga trasfoma kubwa la Msamvu.
Maeneo yanayokosa umeme ni Tungi,Mikese,Mzinga,Mkambarani,Mgeta,Mlali,Tandali,Maguruwe,Area 5&6,Kola A&B,Wilaya yote ya Kilosa yote Kilosa ,Wilaya ya Morogoro vijijini.
Juhudi zilizofanyika team imeanza kurejesha huduma ya iii meme baadhi ya Maeneo mengi ya Mji kupitia transfoma hilo na sasa Tunaendelea na kuunga laini zilizokosa umeme usiku wa kuamkia leo .
Tunaomba radhi sana kwa usumbufbcu utakao kuwasa umejitokeza.
Tahadhari usishike wala kukanyaga nyaya zilizolala chini yoa taarifa Emergency Tanesco Morogoro kipitia namba 06770630010684>89272 tutakufikia .
imetolewa na :
Ofisi ya Uhusiano huduma kwa wateja Tanesco Morogoro.
31/08/2021.
TAARIFA YA KUOMBA RADHI KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME BAADHI YA MAENEO YA MKOA WA MOROGORO.
Shirika la umeme Tanesco linaomba radhi wateja wetu wanaotumia laini ya Tungia,Mzinga,Kilosa,Mikese kwa kukosa huduma ya Umeme usiku wa kuamkia leo kutokana na changamoto zilizojitokza:
Siku :Jumanne.
Tarehe 31/08/2021.
Sababu :hitilafu iliyosababisha kosekana kwa huduma ya Umeme Usiku wa kuamkia leo kutokana na changamoto iliyojitokeza wakati wa kuunga trasfoma kubwa la Msamvu.
Maeneo yanayokosa umeme ni Tungi,Mikese,Mzinga,Mkambarani,Mgeta,Mlali,Tandali,Maguruwe,Area 5&6,Kola A&B,Wilaya yote ya Kilosa yote Kilosa ,Wilaya ya Morogoro vijijini.
Juhudi zilizofanyika team imeanza kurejesha huduma ya iii meme baadhi ya Maeneo mengi ya Mji kupitia transfoma hilo na sasa Tunaendelea na kuunga laini zilizokosa umeme usiku wa kuamkia leo .
Tunaomba radhi sana kwa usumbufbcu utakao kuwasa umejitokeza.
Tahadhari usishike wala kukanyaga nyaya zilizolala chini yoa taarifa Emergency Tanesco Morogoro kipitia namba 06770630010684>89272 tutakufikia .
imetolewa na :
Ofisi ya Uhusiano huduma kwa wateja Tanesco Morogoro.
31/08/2021.