KERO TANESCO Morogoro wanaongoza kwa uzembe, Wapewe tuzo.

KERO TANESCO Morogoro wanaongoza kwa uzembe, Wapewe tuzo.

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Hawa mabwana mvua ikinyesha kidogo tu afisa mkata umeme anakata mji mzima na hawafanyagi kazi usiku hivyo mvua ikinyesha wakikata sa 1 jioni hiyo ni mpaka kesho yake.

Napendekeza meneja wa mkoa apewe tuzo kwa niaba ya afisa mkataji mwandamizi.

Kipindi cha JPM ukiwapigia simu umeme umekata watakuja na timu kubwa kuhakikisha unarudishwa mapema ila sasa wanakula kwa urefu wa kamba zao mitano tena.
 
Hawa mabwana mvua ikinyesha kidogo tu afisa mkata umeme anakata mji mzima na hawafanyagi kazi usiku hivyo mvua ikinyesha wakikata sa 1 jioni hiyo ni mpaka kesho yake.

Napendekeza meneja wa mkoa apewe tuzo kwa niaba ya afisa mkataji mwandamizi.

Kipindi cha JPM ukiwapigia simu umeme umekata watakuja na timu kubwa kuhakikisha unarudishwa mapema ila sasa wanakula kwa urefu wa kamba zao mitano tena.
Jamaa asee ngoja ni msanue wasijekula kichwa.

atakuwa amebakia yeye tu na uzembe, kama kweli uliyosema. sehemu nyingine wapo fasta sana.
 
Back
Top Bottom