Mzalendo07
Member
- Feb 24, 2014
- 71
- 120
TANESCO ni wa kushtakiwa. Tangia jana usiku wanakata umeme wanarudisha wanakata wanarudisha zaidi ya mara 10. Hii ni kuunguziana vitu.
Ufundi gani huo. Kama kuna mtoto anachezea switch.
Ufundi gani huo. Kama kuna mtoto anachezea switch.