butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Tulieni jamani watu wapige dili zao!TANESCO ni wa kushtakiwa. Tangia jana usiku wanakata umeme wanarudisha wanakata wanarudisha zaidi ya mara 10. Hii ni kuunguziana vitu.
Ufundi gani huo. Kama kuna mtoto anachezea switch.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app