Revolution
JF-Expert Member
- Feb 28, 2008
- 960
- 927
Pamoja na kero ya kukatika kwa umeme inayoendelea katika Jiji la Dar es Salaam, Tanesco wanaweza kukata umeme na kuurejesha mara 8 au 10 kwa siku katika Manispaa ya Kigamboni.
Hii ni hatari sana! Kwanini msiukate tu kisha kama kuna hitilafu ama mgao mkaurejesha baada ya kutatua tatizo? Mtakuja kuunguza nyumba au vitu na kuwapa wananchi hasara.
Hivi hali ya kukatika kwa umeme imekuwa worse baada ya kuanza kazi kwa bwawa la kufua umeme la JK Nyerere!!??
Mbona kipindi cha nyuma hapo kwenye miaka mitatu au minne iliyopita hakukuwa na shida ya umeme licha ya kutokuwa na Bwawa kwa wakati huo!!?
Hii ni hatari sana! Kwanini msiukate tu kisha kama kuna hitilafu ama mgao mkaurejesha baada ya kutatua tatizo? Mtakuja kuunguza nyumba au vitu na kuwapa wananchi hasara.
Hivi hali ya kukatika kwa umeme imekuwa worse baada ya kuanza kazi kwa bwawa la kufua umeme la JK Nyerere!!??
Mbona kipindi cha nyuma hapo kwenye miaka mitatu au minne iliyopita hakukuwa na shida ya umeme licha ya kutokuwa na Bwawa kwa wakati huo!!?