TANESCO: Mvua zimeleta athari katika miundombinu ya umeme

TANESCO: Mvua zimeleta athari katika miundombinu ya umeme

Msaamua kuwapa mabwana zenu pesa za bure za watanzania fungeni midomo. Muwege na aibu watanzania sio mafala
 
Umeona sasa? Hahahaaa hawa jamaa bana….
Hawa jamaa ni bure kabisa.

Hawa ilitakiwa wapelekwe kijeshi jeshi tu.

Na malipo yao yawe kutokana na task accomplished tu!

Yani ni shirika la kutoa huduma muhimu sana ya nishati ya umeme ila limegeuzwa kama shirika la kutoa huduma za anasa.
 
Watanzania kama million moja hivi tukijitolea kujiua to commit suicide labda watashtuka
 
Shirika la ovyo sana hili ulipie nguzo harafu nguzo sio zako???unapasuka milion na ushee unavuvuta wiki ijayo jirani anaunganishwa kwa laki tatu ww ulie uvuta kwa mamilion ubabaki kucheka tu.Bado sasa ndo unakutana kila siku na visingizio mara maji hakuna mara maji yameharibu miundo mbinu umeme wa shida.Tanesco badilikeni kuweni siriazi bwana km kipindi cha Jpm
Hii imenikuta hii, yaani uonevu mtupu...
 
TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.

Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema mvua hizo zimeleta athari katika miundombinu ya shirika katika baadhi ya maeneo, hivyo kuongeza changamoto katika upatikanaji wa umeme.
Source swahili times

NB: Lakini hii ni aibu kwa taifa na TANESCO maana TANESCO hawataki masika hawataki kiangazi. Mnapata wapi nguvu za kuitetea CCM
Hawa Tanesco sinawahi kuwaelewa. Jua na mvua vinawaathiri labda waletewe barafu
 
Wangetuambia mapema,msimu huu kila mtu angekinga maji ya mvua then watu wangeenda na ndoo,visado kujaza hayo mabwawa.

Ila nchi yetu kuna mda yaani unakosa cha kuongea daaah sijui wanatuonaje.
 
TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.

Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema mvua hizo zimeleta athari katika miundombinu ya shirika katika baadhi ya maeneo, hivyo kuongeza changamoto katika upatikanaji wa umeme.
Source swahili times

NB: Lakini hii ni aibu kwa taifa na TANESCO maana TANESCO hawataki masika hawataki kiangazi. Mnapata wapi nguvu za kuitetea CCM
Hahahaha ccm ni janga la dunia
 
Tanesco wako sahihi.

Mvua ikinyesha maeneo ya Arusha, Kilimanjaro maji yanajaza nyumbani ya Mungu na Pangani ama Hale.

Mvua ikishenya Morogoro, Mbeya, Iringa , Singida inajaza Kidatu, Mtera, Kihansi.

Mvua ikinyesha Morogoro na Mbeya, Iringa maji yana bwawa la mwalimu Nyerere.

Mvua ikinyesha Pwani, Dar, Kanda ya Ziwa maji yanapotelea baharini na Ziwani.

Hii ni elimu ya kawaida ya kijiografia Tanzania.
Haya nyamohanga, si ni wewe tu ndiye unayejua jiografia
 
Haya nyamohanga, si ni wewe tu ndiye unayejua jiografia
Mkuu hebu nisaidie kuelewa, mvua ikinyesha hapa Dar maji yanaenda wapi? Yanaweza kusafiri hadi Mtera? Kama hayawezi, je mvua ikinyesha pwani kuna faida yoyote kwenye uzalishaji umeme?
 
Au sio mnafiki wakujitegemea 😁😁
Mkuu wala sio unafiki.

Tunaweza kuwalaumu Tanesco kadri tuwezavyo, hilo halina shida.

Lakini kama mvua hainyeshi kwenye vyanzo wasiseme?

Kwa mfano mvua inanyesha kanda ya ziwa, huko hakuna bwawa la kuzalisha umeme, hayo maji yatakua na faida kwenye umeme ama yatasafiri yenyewe hadi Mtera ama Kihansi kwa njia gani?

Ama mvua inanyeha Kigoma, Tabora, hayo maji yataenda wapi?
 
Mkuu hebu nisaidie kuelewa, mvua ikinyesha hapa Dar maji yanaenda wapi? Yanaweza kusafiri hadi Mtera? Kama hayawezi, je mvua ikinyesha pwani kuna faida yoyote kwenye uzalishaji umeme?
Kwani mvua inanyesha pwani tu mkuu? Samahani lakini nimedandia tu juu kwa juu.
 
Back
Top Bottom