Nikishangaa sana, suala la umeme kukatika hovyo hovyo tena siku nzima,kwa hapa shinyanga mjini,limekithiri sana tangu waziri wa nishati aondolewe na kuwekwa Makamba.
Hata wakati wa JK haikuwahi kuwa hivi.Kwa sasa hali imezidi sana kwani hata siku kama ya leo ambapo wananchi wengi wanafuatilia matangazo ya maadhimisho ya sherehe za mapinduzi Zanzibar,Umeme umekatika.
Ninasikitika sana kwa hili kwani ninaona huenda kuna fursa ya upigaji uliohalalishwa kupitia kitu wanachoita service.
Ninatamani kujua huko kwenye service huwa wanabadili nguzo tu au kuna vipuri huwekwa?Kwa nini kwa miaka mitano hakukuwa na huu mchezo wa kukata umeme kila siku kwa mgao?
Kama kuna vipuri vinawekwa ni nani anayeviagiza nje?Au kuna watu wana stock ya majenereta wanataka kuuza?
Je, kama ni suala la mabwawa ya kuendesha mitambo ya kuzalisha umeme,Maji yamepungua,vipi gas yetu ambayo mara tu ilipianza kuzalishwa,gharama ya service charge ikaondolewa?
Kwa suala hili,nimeanza kukumbuka kiburi cha mameneja wa Tanesco miaka ya nyumba.Ufalme wao umerejea.
Hata wakati wa JK haikuwahi kuwa hivi.Kwa sasa hali imezidi sana kwani hata siku kama ya leo ambapo wananchi wengi wanafuatilia matangazo ya maadhimisho ya sherehe za mapinduzi Zanzibar,Umeme umekatika.
Ninasikitika sana kwa hili kwani ninaona huenda kuna fursa ya upigaji uliohalalishwa kupitia kitu wanachoita service.
Ninatamani kujua huko kwenye service huwa wanabadili nguzo tu au kuna vipuri huwekwa?Kwa nini kwa miaka mitano hakukuwa na huu mchezo wa kukata umeme kila siku kwa mgao?
Kama kuna vipuri vinawekwa ni nani anayeviagiza nje?Au kuna watu wana stock ya majenereta wanataka kuuza?
Je, kama ni suala la mabwawa ya kuendesha mitambo ya kuzalisha umeme,Maji yamepungua,vipi gas yetu ambayo mara tu ilipianza kuzalishwa,gharama ya service charge ikaondolewa?
Kwa suala hili,nimeanza kukumbuka kiburi cha mameneja wa Tanesco miaka ya nyumba.Ufalme wao umerejea.