Tanesco na Miradi Lukuki ambayo Hata Pesa hatujui tutapata Wapi ?

Tanesco na Miradi Lukuki ambayo Hata Pesa hatujui tutapata Wapi ?

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Sijakosea najua hili ni Jukwaa la Jokes na nimeweka hapa sababu yanayofanyika ni kama Utani...

Nimemsikia Makamba leo katika utiaji wa Saini za mikataba lukuki ambayo itahitaji pesa lukuki za kuweza kufanya umeme kuwa Historia yaani anasema kwama vile Mkapa alivyofanya usafiri kuwa mzuri (Kujenga Barabara) huyu mama atafanya Shida za Umeme kuwa historia Huyu mama kwa kuwekeza kwa hizi Pesa atafanya Umeme kuwa historia !!!!!

Ingawa na Mama anasema mpaka sasa hajui hizo pesa zitatoka wapi lakini ndio hivyo na Mikataba ishasainiwa...
 
Samia mwenyewe kasema mpaka sasa hajui zitatoka wapi..., pia kawaambia watu wakishapata miradi kazi ifanyike sio watu kukosa kazi wanakimbilia PCCB ili wachunguze (kawaambia PCCB wajitafakari sio kufuatilia kila shutuma wanachelewesha muda wa kazi kufanyika) sababu watoa tender na waliochuja wanajua wanachofanya walichofanya...

Yaani ni kama utani utani vile ila ndio hivyo mambo ni serious....
 
Back
Top Bottom