TANESCO na Msigwa mtuambie kwanini umeme wa Tanzania kwenda Kaskazini una transmission losses kubwa kuliko wa Ethiopia kuja kwetu, mbali zaidi!

TANESCO na Msigwa mtuambie kwanini umeme wa Tanzania kwenda Kaskazini una transmission losses kubwa kuliko wa Ethiopia kuja kwetu, mbali zaidi!

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Tatizo kubwa la wanasiasa wa Tanzania ni kufikiri kwamba Watanzania wote hawana uwezo wa kufikiri, na hivyo huridhika kutoa maelezo mepesi ya kisiasa hata kwenye mambo ya kisayansi.

Mfano ni hili la kupeleka umeme mikoa ya Kaskazini, ambapo Tanesco wanasema gharama za transmission ni kubwa - wao wanaziita hasara, na ni afadhali kununua umeme kutola Ethiopia!

Sasa mtu mwenye akili atajiuliza, kwani huo umeme wa kununua kutoka Ethiopia kuja Tanzania unapitishwa kwenye medium gani ambayo haina transmission losses mnazosema huku kwetu ni gharama sana? Na kumbuka kwamba source ya umeme toka Ethiopia iko mbali zaidi ya source yeyote ya umeme ndani ya Tanzania kwenda mikoa ya kaskazini. Kama transmission losses zinaendana na umbali, basi gharama ya transmission losses ya kuleta umeme toka Ethiopia yapaswa kuwa kubwa zaidi (angalia ramani hapo chini)

1741591985779.png


Kumbuka kwamba, ili Ethiopia watuuzie umeme wao, lazima wana factor-in transmission losses zao za kutoa umeme Ethiopia kuja Tanzania. Sasa ikiwa sisi Tanzania kulipia transmission losses za Ethiopia ni nafuu kuliko kubeba transmission losses za line zetu wenyewe, ni kitu gani ambacho Ethiopia wanafanya kwenye hiyo transmission line yao kuja Tanzania ambacho sisi kimetushinda kufanya? Tilia maanani kwamba umeme wa Ethiopia na Tanzania wote unatokana na maji, hivyo gharama za uzalishaji ni karibu sawa.

Na mikataba ya kununua umeme ni ya muda mrefu siku zote. Kama issue ni transmission lines, kwa nini tujifunge kwenye mkataba wa muda mrefu (lock in effect) badala ya kuwa na mkakati wa kuboresha transmission lines kwa faida za muda mrefu?

Najua Tanesco mmetoa tamko kuuunga mkono kauli ya Raisi Samia mkijua wazi maelezo yenu hayajitoshelezi. Mmejitoa akili ili msijbu kuendana na kauli za wanasiasa, na si mara ya kwanza mnafanya hivi.

Acheni kuendesha hii nchi kinyume cha maumbile. Serikali iseme ukweli kuhusu lililo nyuma ya pazia kutaka kununua umeme toka Ethiopia. Acheni maelezo ya kisiasa kwenye mambo ya kisayansi.
 
Tatizo kubwa la wanasiasa wa Tanzania ni kufikiri kwamba Watanzania wote hawana uwezo wa kufikiri, na hivyo huridhika kutoa maelezo mepesi ya kisiasa hata kwenye mambo ya kisayansi.

Mfano ni hili la kupeleka umeme mikoa ya Kaskazini, ambapo Tanesco wanasema gharama za transmission ni kubwa - wao wanaziita hasara, na ni afadhali kununua umeme kutola Ethiopia!

Sasa mtu mwenye akili atajiuliza, kwani huo umeme wa kununua kutoka Ethiopia kuja Tanzania unapitishwa kwenye medium gani ambayo haina transmission losses mnazosema huku kwetu ni gharama sana? Na kumbuka kwamba source ya umeme toka Ethiopia iko mbali zaidi ya source yeyote ya umeme ndani ya Tanzania kwenda mikoa ya kaskazini. Kama transmission losses zinaendana na umbali, basi tgharama ya transmission losses ya kuleta umeme toka Ethiopia yapaswa kuwa kubwa zaidi (angalia ramani hapo chini)

View attachment 3265426

Kumbuka kwamba, ili Ethiopia watuuzie umeme wao, lazima wana factor-in transmission losses zao za kutoa umeme Ethiopia kuja Tanzania. Sasa ikiwa sisi Tanzania kulipia transmission losses za Ethiopia ni nafuu kuliko kubeba transmission losses za line zetu wenyewe, ni kitu gani ambacho Ethiopia wanafanya kwenye hiyo transmission line yao kuja Tanzania ambacho sisi kimetushinda kufanya? Tilia maanani kwamba umeme wa Ethiopia na Tanzania wote unatokana na maji, hivyo gharama za uzalishaji ni karibu sawa.

Najua Tanesco mmetoa tamko kuuunga mkono kauli ya Raisi Samia mkijua wazi maelezo yenu hayajitoshelezi. Mmejitoa akili ili msijbu kuendana na kauli za wanasiasa, na si mara ya kwanza mnafanya hivi.

Serikali iseme ukweli kuhusu lililo nyuma ya pazia kutaka kununua umeme toka Ethiopia. Acheni maelezo ya kisiasa kwenye mambo ya kisayansi.
Mkuu kama kulikuwa pamoja, nilitaka kusema kitu kinafanana na hichi. Waje waseme kwamba hawa ethiopia wanacover vipi transmission loses na sisi tunashindwa vipi? Watu wenye akili kama wewe serikali ya ccm huwa haitaki kabisa kuwasikia
 
Mkuu kama kulikuwa pamoja, nilitaka kusema kitu kinafanana na hichi. Waje waseme kwamba hawa ethiopia wanacover vipi transmission loses na sisi tunashindwa vipi? Watu wenye akili kama wewe serikali ya ccm huwa haitaki kabisa kuwasikia
Hii serikali imefikia mahali inaitendea hii nchi kinyume cha maumbile na wanadhani sie tutabaki tunaangalia tu bila kutia neno!
 
Ni Ukiritimba Tu
Nimeona mahali wanasema eti ni kwa usalama wa nishati (energy security) kuchukua umeme vyanzo mbalimbali.

Sasa najiuliza, energy security kwa Tanzania ni kwa mikoa ya Kaskazini tu? Hapo ndipo akili ya Tanesco imeishia katika suala la energy security?

Halafu sasa, wao wameshasema ni kwa ajili ya transmission losses kubwa. Sasa wanabanwa wanaanza kusema ni kwa ajili ya energy security!
 
ndio yale yale ya songas,IPTL na Escrow utakuwa ni mrija mpya wa asali huo..na pengine hawa mafisi wetu hawakupenda magufuli kujenga lile bwawa la umeme lingewaharibia sana ulaji wao kwani sekta ya nishati nchini ndio yenye mabilioni ya kuchota tu kama ile Escrow walivyopata mgao.!
 
Tatizo kubwa la wanasiasa wa Tanzania ni kufikiri kwamba Watanzania wote hawana uwezo wa kufikiri, na hivyo huridhika kutoa maelezo mepesi ya kisiasa hata kwenye mambo ya kisayansi.

Mfano ni hili la kupeleka umeme mikoa ya Kaskazini, ambapo Tanesco wanasema gharama za transmission ni kubwa - wao wanaziita hasara, na ni afadhali kununua umeme kutola Ethiopia!

Sasa mtu mwenye akili atajiuliza, kwani huo umeme wa kununua kutoka Ethiopia kuja Tanzania unapitishwa kwenye medium gani ambayo haina transmission losses mnazosema huku kwetu ni gharama sana? Na kumbuka kwamba source ya umeme toka Ethiopia iko mbali zaidi ya source yeyote ya umeme ndani ya Tanzania kwenda mikoa ya kaskazini. Kama transmission losses zinaendana na umbali, basi gharama ya transmission losses ya kuleta umeme toka Ethiopia yapaswa kuwa kubwa zaidi (angalia ramani hapo chini)

View attachment 3265426

Kumbuka kwamba, ili Ethiopia watuuzie umeme wao, lazima wana factor-in transmission losses zao za kutoa umeme Ethiopia kuja Tanzania. Sasa ikiwa sisi Tanzania kulipia transmission losses za Ethiopia ni nafuu kuliko kubeba transmission losses za line zetu wenyewe, ni kitu gani ambacho Ethiopia wanafanya kwenye hiyo transmission line yao kuja Tanzania ambacho sisi kimetushinda kufanya? Tilia maanani kwamba umeme wa Ethiopia na Tanzania wote unatokana na maji, hivyo gharama za uzalishaji ni karibu sawa.

Na mikataba ya kununua umeme ni ya muda mrefu siku zote. Kama issue ni transmission lines, kwa nini tujifunge kwenye mkataba wa muda mrefu (lock in effect) badala ya kuwa na mkakati wa kuboresha transmission lines kwa faida za muda mrefu?

Najua Tanesco mmetoa tamko kuuunga mkono kauli ya Raisi Samia mkijua wazi maelezo yenu hayajitoshelezi. Mmejitoa akili ili msijbu kuendana na kauli za wanasiasa, na si mara ya kwanza mnafanya hivi.

Acheni kuendesha hii nchi kinyume cha maumbile. Serikali iseme ukweli kuhusu lililo nyuma ya pazia kutaka kununua umeme toka Ethiopia. Acheni maelezo ya kisiasa kwenye mambo ya kisayansi.
 

Attachments

  • 20250310_081508.jpg
    20250310_081508.jpg
    106.7 KB · Views: 1
  • 20250310_081529.jpg
    20250310_081529.jpg
    171.7 KB · Views: 1
Pia line za Ethiopia hazina HPV yaani human papilloma virus hivyo electron transmission versus current resistance under harsh condition bila kusahau bundi na popo
 
Tatizo kubwa la wanasiasa wa Tanzania ni kufikiri kwamba Watanzania wote hawana uwezo wa kufikiri, na hivyo huridhika kutoa maelezo mepesi ya kisiasa hata kwenye mambo ya kisayansi.

Mfano ni hili la kupeleka umeme mikoa ya Kaskazini, ambapo Tanesco wanasema gharama za transmission ni kubwa - wao wanaziita hasara, na ni afadhali kununua umeme kutola Ethiopia!

Sasa mtu mwenye akili atajiuliza, kwani huo umeme wa kununua kutoka Ethiopia kuja Tanzania unapitishwa kwenye medium gani ambayo haina transmission losses mnazosema huku kwetu ni gharama sana? Na kumbuka kwamba source ya umeme toka Ethiopia iko mbali zaidi ya source yeyote ya umeme ndani ya Tanzania kwenda mikoa ya kaskazini. Kama transmission losses zinaendana na umbali, basi gharama ya transmission losses ya kuleta umeme toka Ethiopia yapaswa kuwa kubwa zaidi (angalia ramani hapo chini)

View attachment 3265426

Kumbuka kwamba, ili Ethiopia watuuzie umeme wao, lazima wana factor-in transmission losses zao za kutoa umeme Ethiopia kuja Tanzania. Sasa ikiwa sisi Tanzania kulipia transmission losses za Ethiopia ni nafuu kuliko kubeba transmission losses za line zetu wenyewe, ni kitu gani ambacho Ethiopia wanafanya kwenye hiyo transmission line yao kuja Tanzania ambacho sisi kimetushinda kufanya? Tilia maanani kwamba umeme wa Ethiopia na Tanzania wote unatokana na maji, hivyo gharama za uzalishaji ni karibu sawa.

Na mikataba ya kununua umeme ni ya muda mrefu siku zote. Kama issue ni transmission lines, kwa nini tujifunge kwenye mkataba wa muda mrefu (lock in effect) badala ya kuwa na mkakati wa kuboresha transmission lines kwa faida za muda mrefu?

Najua Tanesco mmetoa tamko kuuunga mkono kauli ya Raisi Samia mkijua wazi maelezo yenu hayajitoshelezi. Mmejitoa akili ili msijbu kuendana na kauli za wanasiasa, na si mara ya kwanza mnafanya hivi.

Acheni kuendesha hii nchi kinyume cha maumbile. Serikali iseme ukweli kuhusu lililo nyuma ya pazia kutaka kununua umeme toka Ethiopia. Acheni maelezo ya kisiasa kwenye mambo ya kisayansi.
Kuna mtu nimesikia anasema .. umeme wa ethiopia (grid husika ya kuchukua umeme had mikoa yetu ya tz) tiar upo (ipo) karibu TZ ndani ya kenya ...

So Ikiwa grid ya taifa letu inayofika kaskazini ilihitaji kuongezewa nguvu (as matumiz ya ukanda husika ni makubwa na hayafanani na nguv ya grid husika mpaka sasa) bas ni bora tutumie grid ya Ethiopia as inaweza tugharim gharama kubwa zaid ku upgrade ile ya kwetu .. inayoenda kaskazini.....

Kwa maelezo zaid ni kua tungeweza ku uograde. Lakini ukizingatia kua kuna hasara ya kusafirisha umeme pia bas ni bora tu tuikwepe kwa kununua ule wa ethiopia ambapo wao binafsi nda watawajibika na huku kupotea kwa umeme hapo katikati ktk kuusagirisha.


Hoja ya pili ni diversification. ... (Hatupaswi kutegemea chanzo kimoja)
 
Tatizo kubwa la wanasiasa wa Tanzania ni kufikiri kwamba Watanzania wote hawana uwezo wa kufikiri, na hivyo huridhika kutoa maelezo mepesi ya kisiasa hata kwenye mambo ya kisayansi.

Mfano ni hili la kupeleka umeme mikoa ya Kaskazini, ambapo Tanesco wanasema gharama za transmission ni kubwa - wao wanaziita hasara, na ni afadhali kununua umeme kutola Ethiopia!

Sasa mtu mwenye akili atajiuliza, kwani huo umeme wa kununua kutoka Ethiopia kuja Tanzania unapitishwa kwenye medium gani ambayo haina transmission losses mnazosema huku kwetu ni gharama sana? Na kumbuka kwamba source ya umeme toka Ethiopia iko mbali zaidi ya source yeyote ya umeme ndani ya Tanzania kwenda mikoa ya kaskazini. Kama transmission losses zinaendana na umbali, basi gharama ya transmission losses ya kuleta umeme toka Ethiopia yapaswa kuwa kubwa zaidi (angalia ramani hapo chini)

View attachment 3265426

Kumbuka kwamba, ili Ethiopia watuuzie umeme wao, lazima wana factor-in transmission losses zao za kutoa umeme Ethiopia kuja Tanzania. Sasa ikiwa sisi Tanzania kulipia transmission losses za Ethiopia ni nafuu kuliko kubeba transmission losses za line zetu wenyewe, ni kitu gani ambacho Ethiopia wanafanya kwenye hiyo transmission line yao kuja Tanzania ambacho sisi kimetushinda kufanya? Tilia maanani kwamba umeme wa Ethiopia na Tanzania wote unatokana na maji, hivyo gharama za uzalishaji ni karibu sawa.

Na mikataba ya kununua umeme ni ya muda mrefu siku zote. Kama issue ni transmission lines, kwa nini tujifunge kwenye mkataba wa muda mrefu (lock in effect) badala ya kuwa na mkakati wa kuboresha transmission lines kwa faida za muda mrefu?

Najua Tanesco mmetoa tamko kuuunga mkono kauli ya Raisi Samia mkijua wazi maelezo yenu hayajitoshelezi. Mmejitoa akili ili msijbu kuendana na kauli za wanasiasa, na si mara ya kwanza mnafanya hivi.

Acheni kuendesha hii nchi kinyume cha maumbile. Serikali iseme ukweli kuhusu lililo nyuma ya pazia kutaka kununua umeme toka Ethiopia. Acheni maelezo ya kisiasa kwenye mambo ya kisayansi.
Jawa jamaa wakitaka ku8ba hela huwa hawaelewi. Mambo ya dowans na richmond yanarudi rejea issue ya bandari, watu wamepiga kelele lakini wapi. Hao lazima wanunue umeme ili waibe na tatizo la umeme litakuwepo palepale. Walisema tukizalisha umeme bwawa la nyerere, umeme utakuwa bei nafuu na hautokatika hovyo. Nadhani mnajionea sasa mambo yalivyo. Alafu hao wanaotoa ufafanuzi sijui kama wanajua kama wanaongea upuuzi
 
Kuna mtu nimesikia anasema .. umeme wa ethiopia (grid husika ya kuchukua umeme had mikoa yetu ya tz) tiar upo (ipo) karibu TZ ndani ya kenya ...

So Ikiwa grid ya taifa letu inayofika kaskazini ilihitaji kuongezewa nguvu (as matumiz ya ukanda husika ni makubwa na hayafanani na nguv ya grid husika mpaka sasa) bas ni bora tutumie grid ya Ethiopia as inaweza tugharim gharama kubwa zaid ku upgrade ile ya kwetu .. inayoenda kaskazini.....

Kwa maelezo zaid ni kua tungeweza ku uograde. Lakini ukizingatia kua kuna hasara ya kusafirisha umeme pia bas ni bora tu tuikwepe kwa kununua ule wa ethiopia ambapo wao binafsi nda watawajibika na huku kupotea kwa umeme hapo katikati ktk kuusagirisha.


Hoja ya pili ni diversification. ... (Hatupaswi kutegemea chanzo kimoja)
Mkuu unaposema wao wenyewe watawajibika na kupotea umeme, labda katika mantiki kwamba zile cost za transmission losses tutashare na kina Kenya ambao nao watakuwa wakinunua. Lakini ni kwamba hizo cost za transmission losses mnazibeba nyie mnaonunua, inakuwa ni sehemu ya bei ya umeme wake, sio kwamba anawajibika yeye. Na ukumbuke kwamba kutokana na umbali wa source, cost za transmission na losses zinakuwa kubwa kuliko za kwetu wenyewe

Na sidhani kama atabadilisha cost za transmission losses kwa kuwa mnashare na Kenya. Yeye anachofanya ni ku-calculate transmission losses hadi kuufikisha mikoa yetu ya kaskazini, na ana factor ndani ya purchase price. Kenya wakiamua kununua umeme toka Ethiopia, hawatasema kwa sababu sasa kuna nchi mbili tunawauzia umeme basi ngoja mshee cost ya transmission losses ili bei ya umeme ipungue.

Ukiwaza hivyo ni sawa na kusema basi kawaida linaenda Moshi likiwa na abiria 50. Siku likipata abiria 55 basi mtapunguziwa nauli!
 
Mkuu unaposema wao wenyewe watawajibika na kupotea umeme, labda katika mantiki kwamba zile cost za transmission losses tutashare na kina Kenya ambao nao watakuwa wakinunua. Lakini ni kwamba hizo cost za transmission losses mnazibeba nyie mnaonunua, inakuwa ni sehemu ya bei ya umeme wake, sio kwamba anawajibika yeye. Na ukumbuke kwamba kutokana na umbali wa source, cost za transmission na losses zinakuwa kubwa kuliko za kwetu wenyewe

Na sidhani kama atabadilisha cost za transmission losses kwa kuwa mnashare na Kenya. Yeye anachofanya ni ku-calculate transmission losses hadi kuufikisha mikoa yetu ya kaskazini, na ana factor ndani ya purchase price. Kenya wakiamua kununua umeme toka Ethiopia, hawatasema kwa sababu sasa kuna nchi mbili tunawauzia umeme basi ngoja mshee cost ya transmission losses ili bei ya umeme ipungue.

Ukiwaza hivyo ni sawa na kusema basi kawaida liaenda Moshi likiwa na abiria 50. Siku likipata abiria 55 basi mtapunguziwa nauli!
Yah. Nenda sima post ya Tibaijuka ... Ameeleza sawa na hivyo usemavyo.
 
Back
Top Bottom