TANESCO ni adui Mkubwa wa uwekezaji sekta Binafsi

TANESCO ni adui Mkubwa wa uwekezaji sekta Binafsi

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Hi Great thinkers.

Kati ya Tasisi amabazo zinaitesa sekta binasfi ni TANESCO. Mi nafikiri wanatia fora kwa sasa.

Ule ukiritimba wa TRA na BRELA wakasome, kwa sasa sekta binafsi zinateseka sana na mgawo wa umeme. Kiasi amabcho inakatisha tamaa hata kumvutia mwekezaji mpya.

Magufuli alipokuja na Tanzanaia ya viwanda alitaka kuhhakikisha tuna umeme wa kutosha na stable ndo maana akaanza ujenzi wa bwawa la Nyerere haraka sana.

Najiuliza hivi viongozi waliopo sasa hivi hawaoni namna viwanda inavyoteseka na mgao wa umeme. Hawaoni uchungu wa kupoteza mabilions of money kila siku huku sekta binafsi?

Shida ni nini? Tanesco ya sasa Wanakata umeme hovyohovyo.
Sometimes inatutia aibu kwa foreigners na tunakosa jeuri na kujiamini .mbele yao hasa linapokuja suala la upatikanaji wa umeme wa uhakika Tunaonekana watanzanaia wote ni ng'ombe.

Afu mwisho.wa mwaka serikali mnataka kodi kwa hawa wawekezaji nao Wafanyakazi wanataka annual increamnet how. Kwa uzalishaji upi?


I wish i were a president watanzania mgelimia meno.
 
Bora ile hoja ya maji ilikuwa na mashiko,hii ya mitambo chakavu ni fedheha.

Toka 2021 wameshindwa kutenga fedha wakanunua mipya huku kila mwaka shangingi latest zinashuka na kununua magoli.
 
Bora ile hoja ya maji ilikuwa na mashiko,hii ya mitambo chakavu ni fedheha.

Toka 2021 wameshindwa kutenga fedha wakanunua mipya huku kila mwaka shangingi latest zinashuka na kununua magoli.
Hakuna shirika lakifala kama tanesco as we speak nimeenda sehemu kuna huduma ya haraka nlikuwa nataka wamekata umeme, yan umeme tu unatushinda, hizi stori za unapigwa mwingi nadhan huwa wanazungumzia ubwabwa au labda kuna kitu me sielewi..? Nchi ina viongozi wadhalimu sana hii
 
Mm nadhani ni hujuma za viongozi wachahe tu kwaajili ya kutekeleza deals zao
 
Hi Great thinkers.

Kati ya Tasisi amabazo zinaitesa sekta binasfi ni TANESCO. Mi nafikiri wanatia fora kwa sasa.

Ule ukiritimba wa TRA na BRELA wakasome, kwa sasa sekta binafsi zinateseka sana na mgawo wa umeme. Kiasi amabcho inakatisha tamaa hata kumvutia mwekezaji mpya.

Magufuli alipokuja na Tanzanaia ya viwanda alitaka kuhhakikisha tuna umeme wa kutosha na stable ndo maana akaanza ujenzi wa bwawa la Nyerere haraka sana.

Najiuliza hivi viongozi waliopo sasa hivi hawaoni namna viwanda inavyoteseka na mgao wa umeme. Hawaoni uchungu wa kupoteza mabilions of money kila siku huku sekta binafsi?

Shida ni nini? Tanesco ya sasa Wanakata umeme hovyohovyo.
Sometimes inatutia aibu kwa foreigners na tunakosa jeuri na kujiamini .mbele yao hasa linapokuja suala la upatikanaji wa umeme wa uhakika Tunaonekana watanzanaia wote ni ng'ombe.

Afu mwisho.wa mwaka serikali mnataka kodi kwa hawa wawekezaji nao Wafanyakazi wanataka annual increamnet how. Kwa uzalishaji upi?


I wish i were a president watanzania mgelimia meno.
Uwe president wa wapi?! Kuandika kwenyewe vizuri hujui 😏😏😏🚮
 
Hi Great thinkers.

Kati ya Tasisi amabazo zinaitesa sekta binasfi ni TANESCO. Mi nafikiri wanatia fora kwa sasa.

Ule ukiritimba wa TRA na BRELA wakasome, kwa sasa sekta binafsi zinateseka sana na mgawo wa umeme. Kiasi amabcho inakatisha tamaa hata kumvutia mwekezaji mpya.

Magufuli alipokuja na Tanzanaia ya viwanda alitaka kuhhakikisha tuna umeme wa kutosha na stable ndo maana akaanza ujenzi wa bwawa la Nyerere haraka sana.

Najiuliza hivi viongozi waliopo sasa hivi hawaoni namna viwanda inavyoteseka na mgao wa umeme. Hawaoni uchungu wa kupoteza mabilions of money kila siku huku sekta binafsi?

Shida ni nini? Tanesco ya sasa Wanakata umeme hovyohovyo.
Sometimes inatutia aibu kwa foreigners na tunakosa jeuri na kujiamini .mbele yao hasa linapokuja suala la upatikanaji wa umeme wa uhakika Tunaonekana watanzanaia wote ni ng'ombe.

Afu mwisho.wa mwaka serikali mnataka kodi kwa hawa wawekezaji nao Wafanyakazi wanataka annual increamnet how. Kwa uzalishaji upi?


I wish i were a president watanzania mgelimia meno.
Ndo maana msukuma anawaponda maprofessa!Hawana jipya.
 
Kwamaneno mengine, tanesco ni kampuni pekee nchini inayoona ni sawa kukosa mapato kwa visingizio vidogodogo. Hawahesabiwi kwamba kila saa umeme ukikatika nchi inakosa mapato kwa wao kama shirika kutokubill wateja na wateja wake hawazalishi nankupelekea kukosa hela
 
Nafikiri shida haipoa pale Tanesco shida ni system nzima inayomiliki mpka tanesco yenyewe. Sisi wafanya biashara tunaotegemea umeme tunaumizwa sana hakuna namna tutaongea tutaeleweka lkn maumivu ni makali sana...
 
Wakati wa kiangazi walisema mgao wa umeme unasababishwa na ukame. Wakati wa masika wanasema mgao wa umeme unasababishwa na mvua kupiga shoti transformers
 
Kuna mjinga mmoja juzi kasema kuwa maji yanayotokana na mvua zinazonyesha hayaingii kwenye channel za mabwawa ya kuzalisha umeme. Yani yule mpumbavu ndio kanimaliza nguvu kabisa! [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Jumamosi moja nilikua K/koo,ndani ya nusu saa umeme ulikata kama mara 3 hivi na ukikata system zinazima inabidi generator iwake na system zianze upya...kero tupu,sina hakika kama hizi kero hawa viongozi wetu wanazijua au la,...kwenye mwendo kasi nako ni balaa,watu wamerundikwa kama viroba,yaani kero na risk ya magonjwa...inahuzunisha sana kwa kweli.
 
Back
Top Bottom