Una maanisha Rushwa?Tatizo nyie watu wenye vijipesa mnadhani nyie ndio wa muhimu kuliko wote. Kaa kwenye foleni usubiri zamu yako ifike.
Kuna wengine walishalipia kabla yako na wako wanasubiri kuhudumiwa.
Otherwise 'pitia mlango wa nyuma' uhudumiwe fasta.
HahahaTafuta wakili mzuri muwashItaki mpige pesa bila jasho.
Fanya kama wazungu wanavyotufanyia sasa hivi.
Kwani nyie zanzibar mnahusika na hili?Tafuta wakili mzuri muwashItaki mpige pesa bila jasho.
Fanya kama wazungu wanavyotufanyia sasa hivi.
Sasa hivi utawala wa Zanzibar,ulikuwa huelewi?Kwani nyie zanzibar mnahusika na hili?
Hahahahaha hii ni kweli tupuNchi haiendelei kwa watu jama hawa. customer service.
Umerudi??Sasa hivi utawala wa Zanzibar,ulikuwa huelewi?
Mmerusha wee lakini kazi ya Mungu haina makosa.
Kila chenye mwanzo kina mwisho tulia bibiSasa hivi utawala wa Zanzibar,ulikuwa huelewi?
Mmerusha wee lakini kazi ya Mungu haina makosa.
pole sana.. sio tu hawana ufanisi ni wa hovyo hovyo tuWafanyakazi wa taasisi za Umma sijui Wana shida gani. Yaani wao mpaka wapate mtu wa kuwapelekesha ndio wafenye kazi.
Sasa Leo niko na hawa TANESCO nina kimradi changu huko musoma, niliwaita TANESCO kuniunganishia umeme kuja ilikuwa shida kwelikweli, mwisho wa siku wakaja wakanipa gharama zao 4.9m (million nne laki 9) wakanipa control number nikalipia.
Nikasubiri umeme kufungiwa, ikawa kesho, kesho, kesho. Majibu Yao ni kesho tu. Mwishowe wakawa hawapokei simu. Yaani unapiga simu kutwa nzima hawapokei.
Utafikiri naomba msaada wakati pesa nimeshawalipa, au wanaandaa mazingira ya Rushwa?
Nchi haiendelei kwa watu jama hawa. customer service.
Hilo wala lisikupe shida kumkumbusha Muislam.Kila chenye mwanzo kina mwisho tulia bibi
Piga simu makao makuu ile customer care. Utakuja kunishukuru.Wafanyakazi wa taasisi za Umma sijui Wana shida gani. Yaani wao mpaka wapate mtu wa kuwapelekesha ndio wafenye kazi.
Sasa Leo niko na hawa TANESCO nina kimradi changu huko musoma, niliwaita TANESCO kuniunganishia umeme kuja ilikuwa shida kwelikweli, mwisho wa siku wakaja wakanipa gharama zao 4.9m (million nne laki 9) wakanipa control number nikalipia.
Nikasubiri umeme kufungiwa, ikawa kesho, kesho, kesho. Majibu Yao ni kesho tu. Mwishowe wakawa hawapokei simu. Yaani unapiga simu kutwa nzima hawapokei.
Utafikiri naomba msaada wakati pesa nimeshawalipa, au wanaandaa mazingira ya Rushwa?
Nchi haiendelei kwa watu jama hawa. customer service.
JIONGEZE!Una maanisha Rushwa?
Siwezi kutoa Rushwa kwa ajili ya kuletewa UmemeJIONGEZE!