The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewataarifu wateja wake kuwa kutakuwa na maboresho ya mfumo wa LUKU ambayo yanatarajiwa kufanyika usiku wa Oktoba 21, 2024 kuanzia saa 5:59 hadi saa 09:00 usiku.
wakati wa maboresho hayo, wateja hawataweza kununua umeme kwa muda wa saa 3, hivyo wananchi wamehimizwa kufanya manunuzi ya umeme mapema ili kuepusha usumbufu unaoweza kujitokeza.
wakati wa maboresho hayo, wateja hawataweza kununua umeme kwa muda wa saa 3, hivyo wananchi wamehimizwa kufanya manunuzi ya umeme mapema ili kuepusha usumbufu unaoweza kujitokeza.