TANESCO: Sasa usambazaji wa umeme nchini kufanywa na sekta binafsi. Tayari Wawekezaji wameonesha nia ya kuwekeza TZS 3.3T kwa sharti la Ubia

Matamko haya needs to come from tanesco

Wana bodi kamili
 
Japo njia nyingi hasa za ndani ya nchi zitabaki chini ya Serikali TANESCO
 
Ndio yale yale ya bandari tulijua ujio wa ubia na serikali bei ingeshuka lakini ndio imepaa juu mara dufu. Ndio linalo enda kutokea kwenye UMEME katika TAIFA la Tanganyika yangu. Sijui serikali hii inaweza nn yenyewe?
All the best
 
Cc: JPM
 
Ndio yale yale ya bandari tulijua ujio wa ubia na serikali bei ingeshuka lakini ndio imepaa juu mara dufu. Ndio linalo enda kutokea kwenye UMEME katika TAIFA la Tanganyika yangu. Sijui serikali hii inaweza nn yenyewe?
All the best
Bandari imeleta madhara Gani kwa Raia wake?
 
Ndgu zangu ai kwamba ndo mambo ya Richmond,Dowans nā akina Tegeta Escro ndo wanakuja kinyumenyume tena?.
Nina mashaka makubwa sana,mda hauwezi ongopa
 
Tuone kama nguzo zitanifikia.

😞😞😞
Nguzo moja ilikuwa laki 3 wakishapewa hao wahindi kufungiwa umeme itakuwa milion 1 na units moja ni tsh.500.

Lazma maji muite mma mwaka huu. Na ukifuatilia deep down utakuta ni shere tu inachezwa kama DP welding.

Sababu zile zile, vita ya Israel na Iran 😂😂😂
 
Punguza upotoshaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…