Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Najua mpo humu tena ngoja niwatag TANESCO
Poleni na majukumu makubwa sana ya kutukatia umeme kila uchwao, sasa mimi nikiwa kama mdau wa soka, kombe la dunia linaanza leo hivyo tunawaomba sana msitukatie umeme mkatunyimba burudani ya soka ambayo huja kila baada ya miaka minne.
Kwakuwa TBC1 washaupiga mwingi kwa kutuonyesha kombe la dunia bure, basi na nyie ungeni mkono juhudi za TBC1 kwa kutuachia umeme tushuhudie walau Senegal ikitwaa ubingwa.
Asanteni sana!
Poleni na majukumu makubwa sana ya kutukatia umeme kila uchwao, sasa mimi nikiwa kama mdau wa soka, kombe la dunia linaanza leo hivyo tunawaomba sana msitukatie umeme mkatunyimba burudani ya soka ambayo huja kila baada ya miaka minne.
Kwakuwa TBC1 washaupiga mwingi kwa kutuonyesha kombe la dunia bure, basi na nyie ungeni mkono juhudi za TBC1 kwa kutuachia umeme tushuhudie walau Senegal ikitwaa ubingwa.
Asanteni sana!