TANESCO: Unit 75 kwa mwezi ni chache sana kwa maisha ya sasa ya technolojia

TANESCO: Unit 75 kwa mwezi ni chache sana kwa maisha ya sasa ya technolojia

kichongeochuma

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2024
Posts
1,669
Reaction score
2,864
TANESCO wanatakiwa kwenda na wakati unit 75 kwa mwezi kwa maisha ya sasa ni chache sana maana kwa sasa vitu basic vya umeme majumbani ni vingi mambo yamesha badilika na nyie mbadilike

Mtu anatumia umeme kwa kujibana bana kisa anaogopa kuvuka unit 75 na wakati vitu alivyo navyo ni basic kabisa kuna haja TANESCO kupitia upya hizi sheria.
 
Hizo zilikua package kwa watu wa Hali ya chini ambao hawana matumizi yanayofika 75kw kwa mwezi, wewe kama unajiweza tumia hata kw 10000 nani atakuzuia, CCM kweli wanakosea mambo mengi ila wananchi nao mmezidi kulia ujinga, unaweza Toka Hio tariff jiunge ambapo unatumia umeme bila kikomo

Ningekuelewa sana endapo ungeomba Bei ya umeme ishushwe kwa wote, sio nyinyi mnaopendelewa mkihitaji nafuu zaidi huku sisi tunanyonywa, tunanua umeme wa elf 10 kw 28 nyi wa kw 75 sio muda wa kulalama
 
Kama ww unit 75 hazikutoshi basi ujue huko sio saizi yako.

Kikubwa tu gharama za umeme zishushwe kwa wote, kuna faida kubwa sana taifa likiwa na umeme wa uhakika na wa bei rahisi, hii inamgusa hata yule mtu wa chiini kabisa.

Tanzania hii ingefanya mchakato ukiwa umeme wa bei chee, kisha mafuta yakawa bei rafiki, kuna unafuu utapatikana kwa mtanzania wa dola 1 kwa siku.
 
Back
Top Bottom