TANESCO: Uwepo wa Kunguru ndiyo chanzo kikubwa cha umeme kukatika mara kwa mara katika wilaya ya Kinondoni

Kunguru ndio chanzo cha kuliingizia hasara kimapato Tanesco na Serikali kwa ujumla,Huu mwaka 2021 umekuja na uvumbuzi mzuri kweli
 
Safari hii hadi kunguru wataisoma namba, na wenyewe tayari wameshapewa tuhuma za kuhujumu uchumi..
 
Kwa hiyo sababu ya kukatika kwa umeme ni kuzimwa kwa mitambo ili kubadilisha hizo nyaya zilizoharibiwa na kunguru au kunguru ndio "wanazima" umeme?
Eti wanakula magamba ya nyayaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hawa ndo kama wale wa kipindi kile.umeme ni wa shida sababu mvua hamna hivyo maji yamepungua kidatu. Mvua iliponyesha wakaleta visingizio kwamba mvua imenyesha nyingi bwawa limejaa tope.
 
Baada ya Sua kuzalisha panya wanaotegua mabomu sasa wamepata assignment mpya ya kuwafundisha kunguru kutotua kwenye nyaya za umeme na vyuma.
 
Kuna siku nilikutana na fuso la chadema limejaa matrei ya mayai madogo madogo nikauliza ni mayai ya nini yale, wakaniambia ni ya kungulu yametoka ubeligiji wanayapeleka kwenye incubator la mbowe kutotolesha. Leo nimepata majibu
Bange za bila.kula.hatari sana!!!
 
Mkuu naomba unisaidie kujua. Tangu 2015 hadi leo hii, ni matukio mangapi yameripotiwa kuhusu milipuko ya nyaya na transfomer kutoka eneo tajwa hapo juu?
 
Kuna kipindi niliona mtego wa kunguru muhimbiri walikua wasumbufu mno ukiambiwa bila kuona atahari zake utabisha mpaka asubuhi huyo meneja yupo sahihi sio kula nyaya kwa kugusisha na waya wanazobeba kila mara..
 
Kuna siku nilikutana na fuso la chadema limejaa matrei ya mayai madogo madogo nikauliza ni mayai ya nini yale, wakaniambia ni ya kungulu yametoka ubeligiji wanayapeleka kwenye incubator la mbowe kutotolesha. Leo nimepata majibu

[emoji1784][emoji1784]
 
Kuna siku nilikutana na fuso la chadema limejaa matrei ya mayai madogo madogo nikauliza ni mayai ya nini yale, wakaniambia ni ya kungulu yametoka ubeligiji wanayapeleka kwenye incubator la mbowe kutotolesha. Leo nimepata majibu
Haaa haaa haa bado unaendeleza kula bata [emoji23] Christmas na mwaka mpya? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kunguru wameshaangushiwa jumba bovu.
Ujanjaujanja Tu!!
Mwalimu Nyerere Alisema Wenye Akili Wanajua. πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…