TANESCO: Uwepo wa Kunguru ndiyo chanzo kikubwa cha umeme kukatika mara kwa mara katika wilaya ya Kinondoni

Kwani awamu hii Kutangaza MGAO ni zambi.?
 
Kunguru wametuchelewesha sana ndugu zangu....Five again.
 
Kunguru wa 2021 wana tofauti na wale wamika ya nyuma?
 
Mtu aliye shindwa kufanya mapenzi utamsikia akisema godoro lilikua linatereza otherwise yule demu angeipata.
 
Kwasababu hiyo naamini tutakuwa na nyaya za hovyo kuliko zote hapa duniani, zilizochakaa kupitiliza, hili shirika linajiendesha kwa nguvu za Mungu tu.
 
Jamaa linakwapua tu, kutapanya na kuchezeachea matrilion kwa mambo yasiyo kuwa na tija. Na kwa MAKSUDI kuporomosha uchumi wa nchi tena bila aibu.

Mtu wa ajabu sana
 
Nilimsikia jamaa mmoja akisema kuna agizo litatoka ikulu la kuwafanya mboga hawa viumbe ili kuwapunguza
 
Hao kunguru ni moja Kati ya kero za muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Zanzibar waliagiza hao kunguru India kwa mradi wa kifisadi kuwa wanasaidia kusafisha mazingira zanzibar kwa kula takataka

Sasa wakazaliana kwa wingi wakahamia wengine bara bila makubaliano ya kimuungano kuwa waje huku

Zanzibar njooni muondoe kunguru wenu wanatuletea kero Tanzania bara na gharama za ku replace nyaya za umeme mlipe wenyewe

Baraza la wawakilishi itisheni kikazi cha dharura kujadili hawa kunguru wenu waliovamia barua bila kufuata prortocol za muungano tulizokubaliana
 
Hii inaitwa jambo limezua jambo, hawa kunguru si waliletwa kusafisha mji? Sasa wameanza kukata umeme!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…