TANESCO: Uwepo wa Kunguru ndiyo chanzo kikubwa cha umeme kukatika mara kwa mara katika wilaya ya Kinondoni

Huyu kalishwa matango pori tu maskini ya Mungu,kunguru wanakuraje nyaya za umeme?hakuna uwezekqno wa kunguru kupigisha short circuit ya nyaya za 33KV,sema Kama ataamua kupiga msamba!

Uwezekano wa kunguru kupigisha short ni mdogo sana,
Chief hsbari mbona iko wazi sana ? Siyo kunguru kwa dhati yake bali kwa vile anavyo okototeza na kuruka navyo kwa ajili ya shughuli zake.

Kunguru wanasabaisha sana mizinga mijini huko mpaka watu wasio jua masuala ya umeme hili jambo wanalijua, utawasikia tu wakisikia mzinga wanasema "Kunguru huyo kashapigwa".

Pili, vifaa vinavyofungwa siku hizi kwa ajili ya kutambua "fault" viko fasta sana kutambua fault, ndiyo maana unakuta ikitokea tu mzinga kidogo, umeme unakata, kisha ndani ya sekunde kadhaa unarudi, ukikatika zaidi ya mara mbili, kifaa kinakata umeme mazima na kina toa taarifa ya kuwataka wahusika waende ku clear fault.
 
Wenzao duniani huko wanapitisha nyaya chini ya Ardhi wao wanatuchafulia mji halafu wanalalmikia kunguru
 
Ni matukio ambayo nimeshuhudia. Siwatetei Tanesco. Sijasema kuwa hutokea kila siku, nimefafanua baada ya watu kubisha kuwa kunguru hawezi kusababisha shoti.
Kunguru anabeba waya mdogo lakini unaweza kuwa mrefu hata zaidi ya mita moja. Huwa wanabeba hata kwa kutumia miguu yao (mdomo hutumia kubeba mzigo mwepesi)
Nyanya wanazobeba kunguru sio hizi za line ya Tanesco, ni zile nyanya ndogo za kusukia mota za feni, pamoja na nyanya ambazo hutokana na kuunguzwa kwa matairi ya gari. Hizi ndio hugusanisha waya mmoja na mwingine na kusababisha shoti.
Hawajengi kwenye waya au transfoma, bali hutua kwa ajili ya kupumzika na mzigo yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…