Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Tangu kuanza wiki hii TANESCO wamekuwa wakikata umeme bila taarifa kabisa kwa wananchi wa maeneo husika Boko magengeni, Bulemawe, Chama,Calfonia, Ndogondogo center na Mtambani.
Mfano jumatatu, jumanne, jumatano wanakata umeme kuanzia asubhi unarudi usiku! Na ukirudi tena saa sita au saa 7 usiku unakataa tena kama ilivyo leo, ninavyoandika uzi huu ni masaa mawili sasa umeme umekatika.
Mbona hali inazidi kuwa mbaya sana. Octoba 2025 ifike tufanye maaumizi magumu sasa maana tumeshaongea sana lakini wenye mamlaka husika wameridhika sana na maisha tunayopitia wananchi!
Mfano jumatatu, jumanne, jumatano wanakata umeme kuanzia asubhi unarudi usiku! Na ukirudi tena saa sita au saa 7 usiku unakataa tena kama ilivyo leo, ninavyoandika uzi huu ni masaa mawili sasa umeme umekatika.
Mbona hali inazidi kuwa mbaya sana. Octoba 2025 ifike tufanye maaumizi magumu sasa maana tumeshaongea sana lakini wenye mamlaka husika wameridhika sana na maisha tunayopitia wananchi!