TANESCO Wakipigiwa simu ya dharura wanachelewa au hawatokei kabisa

TANESCO Wakipigiwa simu ya dharura wanachelewa au hawatokei kabisa

Habari waungwana!

Mimi bhana nakwazika sana na suala hili hasa wakati wa dharura hawa TANESCO bhana ni wazito mnoo kufika eneo lilipotokea tatizo.

Niliwah pata shida ya Luku, nikapiga simu na nipo karibu na ofisi zao, wakasema watafika ndani ya muda mfupi, cha ajabu nililala giza kiukwel maana hawakutokea nikawapigia asubuhi wakasema watakuja hawakutokea kabisa.

Kuna wakati hawapokei simu kabisa, au unapiga saa 1 wanakuja saa 5. Hii inakwaza na inakwamisha mambo mengi sana,

Je, tunaweza ripoti wapi tusipopata huduma kwa wakati sahihi?.

Customer care ya Tanesco is one of the. Best, kama unalalamika kungoja masaa 5, nataka nikueleze katafute dunia yako uishi mwenyewe
 
Mimi nilikua nawapigia mpaka wakipokea wanataja jina langu [emoji28][emoji28][emoji28]walishanikariri na kupiga kote walikuja baada ya Siku 3
Wana Low response katika hali ya dharura
 
Miongoni mwa Taasisi zinazonukia rushwa ni hii.Usipotoa utazungushwa kwa sababu lukuki hadi ufe.Ndio zinanukia au unataka tusemeje
 
Back
Top Bottom