Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Bora tuhamie AfghanistaniTanzagiza kila kitu kinafanyika gizani
Saa 100 alitaka kulibinafsisha ila naona amepiga bonge la U turn baada ya hili dude la dp wKama kichwa cha uzi kinavyojieleza naona ni muda muafaka wa kuuzia hili shirika wadau wa DP WORLD afu Bandari tukabaki nayo naona Tanesco wameshindwa kujiendesha. Bado tunawasha mishumaa na makoroboi 2023 kisa umeme hamna zaidi ya masaa 34 aibu TANZAGIZAView attachment 2725617View attachment 2725618View attachment 2725671
hahahaa , nachat na mtu mtwara anasema ndo umerud ss hv saa 5 usk na dk 55Usiwatanie hao, waeza uza Kweli!!