TANESCO wametuzidi akili Watanzania au tumekubali kuburuzwa?

TANESCO wametuzidi akili Watanzania au tumekubali kuburuzwa?

Kamavinga

Member
Joined
Nov 7, 2021
Posts
43
Reaction score
62
Miezi kadhaa iliyopita, tulikumbwa na janga kubwa la mgao wa umeme ambalo lilileta usumbufu wa kila aina kwa Watanzania. Watu wakawa 'frustrated' na umeme ukawa ndo story kila kona na mitandao ya kijamii.

Mvua ikaanza kunyesha na tararibu kadhia hii ya umeme ikaanza kupungua, na kwa sasa imepungua sana na wabongo TUMESHASAU. Tunakula maisha kama kawaida.

NATOA RAI KWAMBA ''TUSIJISAHAU'', linaweza kujitokeza tena siku za usoni. Tutumie muda huu kuhoji Tanesco kama ufumbuzi ushapatikana. Tutusisubiri mapaka kero ianze tena ndo tuanze kulalamika. Vinginevyo, Tanesco wataendelea kucheza na akili zetu mpaka wachoke wenyewe.
 
Wana akili au matope?
Wanasema wameboresha huduma
Hata token wameshindwa wataweza umeme
 
Miezi kadhaa iliyopita, tulikumbwa na janga kubwa la mgao wa umeme ambalo lilileta usumbufu wa kila aina kwa Watanzania. Watu wakawa 'frustrated' na umeme ukawa ndo story kila kona na mitandao ya kijamii.

Mvua ikaanza kunyesha na tararibu kadhia hii ya umeme ikaanza kupungua, na kwa sasa imepungua sana na wabongo TUMESHASAU. Tunakula maisha kama kawaida.

NATOA RAI KWAMBA ''TUSIJISAHAU'', linaweza kujitokeza tena siku za usoni. Tutumie muda huu kuhoji Tanesco kama ufumbuzi ushapatikana. Tutusisubiri mapaka kero ianze tena ndo tuanze kulalamika. Vinginevyo, Tanesco wataendelea kucheza na akili zetu mpaka wachoke wenyewe.
Wabongo mpaka waje kuamka hii nchi itakuwa imejaa mashimo tu na maandaki, mali zote zimechukuliwa.
 
Miezi kadhaa iliyopita, tulikumbwa na janga kubwa la mgao wa umeme ambalo lilileta usumbufu wa kila aina kwa Watanzania. Watu wakawa 'frustrated' na umeme ukawa ndo story kila kona na mitandao ya kijamii.

Mvua ikaanza kunyesha na tararibu kadhia hii ya umeme ikaanza kupungua, na kwa sasa imepungua sana na wabongo TUMESHASAU. Tunakula maisha kama kawaida.

NATOA RAI KWAMBA ''TUSIJISAHAU'', linaweza kujitokeza tena siku za usoni. Tutumie muda huu kuhoji Tanesco kama ufumbuzi ushapatikana. Tutusisubiri mapaka kero ianze tena ndo tuanze kulalamika. Vinginevyo, Tanesco wataendelea kucheza na akili zetu mpaka wachoke wenyewe.
Mmekubali kuburuzwa
 
Back
Top Bottom