TANESCO watoa ufafanuzi kuhusu maboresho ya miundombinu kituo cha Ubungo kuanzia Feb 22-28 na kuathiri maneno ya Dar, Zanzibar na Pwani

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Tutakuwa na maboresho ya miundombinu yatakayofanyika katika Kituo cha Kupokea, Kupoza na Kusafirisha umeme cha Ubungo ambayo yanaweza kuathiri upatikanaji wa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti kwenye baadhi ya maeneo ya Zanzibar, Dar na Pwani.

Tunapenda kuwatia hofu wananchi kuwa maboresho haya hayatakuwa kwa siku sita mfululizo na hayataathiri wananchi kwa muda wote.

Soma Pia: TANESCO yatangaza kufanya maboresho kituo cha umeme Ubungo. Baadhi ya maeneo Dar, Zanzibar na Pwani kukosa Umeme

Shirika linafanya kila jitihada kuhakikisha athari zitakazotokana na maboresho hayo kuwa za kiwango cha chini kadri iwezekanavyo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…