Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Tutakuwa na maboresho ya miundombinu yatakayofanyika katika Kituo cha Kupokea, Kupoza na Kusafirisha umeme cha Ubungo ambayo yanaweza kuathiri upatikanaji wa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti kwenye baadhi ya maeneo ya Zanzibar, Dar na Pwani.
Tunapenda kuwatia hofu wananchi kuwa maboresho haya hayatakuwa kwa siku sita mfululizo na hayataathiri wananchi kwa muda wote.
Soma Pia: TANESCO yatangaza kufanya maboresho kituo cha umeme Ubungo. Baadhi ya maeneo Dar, Zanzibar na Pwani kukosa Umeme
Shirika linafanya kila jitihada kuhakikisha athari zitakazotokana na maboresho hayo kuwa za kiwango cha chini kadri iwezekanavyo.
Tunapenda kuwatia hofu wananchi kuwa maboresho haya hayatakuwa kwa siku sita mfululizo na hayataathiri wananchi kwa muda wote.
Soma Pia: TANESCO yatangaza kufanya maboresho kituo cha umeme Ubungo. Baadhi ya maeneo Dar, Zanzibar na Pwani kukosa Umeme
Shirika linafanya kila jitihada kuhakikisha athari zitakazotokana na maboresho hayo kuwa za kiwango cha chini kadri iwezekanavyo.