TANESCO: Wema ni jipu, tumemuweka kwenye 24hrs surveillance

TANESCO: Wema ni jipu, tumemuweka kwenye 24hrs surveillance

Miss Tanzania 2006 na aliyekuwa ex wa Mr Blue,Kanumba,Diamond,model wa Namibia,Jose Maraa,Kigogo wa ikulu na watu kadhaa wasio na majina makubwa hapa town amewekwa katika list ya wateja wa kuangaliwa zaidi na shirika la umeme Tanzania mwaka 2016,habari kutoka ndani kabisa ya shirika hilo zinadai mwanadada huyo amelitia hasara kubwa sana shirika hilo tokea kuanzishwa kwake, ambapo Tanesco makao makuu wameamua kila siku asbuhi na jioni wanapita nyumbani kwa mnyange huyo kuangalia kama mita yake haijachezewa na vishoka ambapo pia wamedai kwamba sababu za mgao wa umeme kipindi cha nyuma Dar kilikuwa ni sababu ya matumizi mabaya ya umeme nyumbani kwa dada huyoo.

Naye mrembo huyo kuonesha kama kweli hatarudia tukio hilo ameamua kupunguza matumizi ya umeme hili kupunguza gharama ,ambapo ameuza AC zake zote na amenunua panga boy 3,ameongeza majiko mawili ya mkaa,amekataza watu kuangalia TV ovyo ovyo ambapo amewataka kuangalia habari na kipindi cha "IN MY SHOES" pekee,pia habari zinadai siku hizi huwa anaenda kwa Kadinda kupiga pasi
.

Mpaka tunaingia mitamboni miss huyo ambaye umri unazidi kumtupa mkono alikataa kuongea na sisi sababu alikuwa bize site na mafundi.

Kila la kheri la dada
Mkuu post yako imekaa ki umbeya umbeya chunguza chuki mkuu yaani matatizo makubwa ya Tanesco yawe yamesababishwa na wema kweli? Badala ya mashirika ya umma na taasisi za serikali? Kweli nimeamini usemi wa kiswahili hasidi hana sababu wewe ni hasidi mkubwa kwenye maendeleo ya wema
 
juzi nimemuona kariakoo ananunua mtungi wa gesi wa kilo 6 wenye kisahani cha moja kwa moja
 
Mwenzangu!Ya leo kali...
Mimi nilianza kumjua na kumkubali Jose Mara kwenye kile kipande kitamu alichoimba kwenye Hujafa Hujaumbika ya FM Academia "Kesho nikifumba macho nitajibu nini mbele ya haki eeeh,kumbe mali za dunia tu ni Sabuni ya roho........"
Na nilikuwa katoto balaaa....
Mmmh me hadi kesho napenda kile kipande chake kwenye heshima kwa wanawake
"Usimdharau usiyemjua wewe wee, mama Monica, ulimwengu na vyote vilivyomo ndani yake, vitampisha apite anayejua aendako".....
 
Last edited:
AISEE UNA KIPAJI SANA LAZIMA SHIGONGO AKUTAFUTE
 
Acha kumkashif mwenzio we mbona hujataja list yako,mxuuuuuuuuu.....kweli nyani haoni Ku....le,,ungesema wema sepetu watu wasingekuelewa????????
 
Back
Top Bottom