DOKEZO TANESCO, Wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya umeme hakuna leo ni siku ya saba. Kulikoni?

DOKEZO TANESCO, Wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya umeme hakuna leo ni siku ya saba. Kulikoni?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Kwa masikitiko makubwa Wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya hakuna umeme leo ni siku ya 7.

Na uongozi wa TANESCO mkoa na Wilaya wakiulizwa wanasema ulizeni makao makuu ya Tanesco.

Mwenye namba ya simu ya makao makuu ya TANESCO tafadhali.

=============

UPDATES...
Mkurugenzi Huduma kwa Wateja TANESCO, Martin Mwambene amesema “Kuna kazi ya kuvuta ‘faiba’ (mfumo wa mawasiliano wa ndani ya TANESCO), Watalaam wa Mkonga wa Taifa kutoka Isangawana kwenda Kambi Katoto, tuna kazi ya kukata miti kuanzia Kawetere kwenye njia kuu, hivyo njia (line) yote ya Chunya umeme umetolewa asubuhi utarudishwa jioni ya saa kumi na mbili.”
 
Kwa masikitiko makubwa Wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya hakuna umeme leo ni siku ya 7.

Na uongozi wa TANESCO mkoa na Wilaya wakiulizwa wanasema ulizeni makao makuu ya Tanesco.

Mwenye namba ya simu ya makao makuu ya TANESCO tafadhali.

=============

UPDATES...
Mkurugenzi Huduma kwa Wateja TANESCO, Martin Mwambene amesema “Kuna kazi ya kuvuta ‘faiba’ (mfumo wa mawasiliano wa ndani ya TANESCO), Watalaam wa Mkonga wa Taifa kutoka Isangawana kwenda Kambi Katoto, tuna kazi ya kukata miti kuanzia Kawetere kwenye njia kuu, hivyo njia (line) yote ya Chunya umeme umetolewa asubuhi utarudishwa jioni ya saa kumi na mbili.”
Kila siku hakuna umeme Tangu asubuhi hadi saa 12 Jioni.

Ofisi Za serikali na wazalishaji wakubwa wanaotumia umeme kila siku wanarudi wajumbani kwa sababu hawana kazi.

2. kazi ya kukata miti kuanzia Kawetere kwenye njia kuu, Itamalizika Lini Ili tujue tuna umeme wa uhakika na kuzalisha na kufanya kazi kwa uhakika?

3. Chunya yote in Low voltage, umeme ni mdogo kulingana na Matumizi hadi songwe, Je Tanesco ina mikakati gani au mpango gani kupunguza kama Sio kuondoa Tatizo hilo la umeme mdogo kwani mitambo mungu inaharibika.

4. Ni Lini Tanesco itaanza utaratibu wa kutoa taarifa au matangazo ya kuta umeme, kwa wateja na kufahamu siku na muda wana Kata na kurudisha?

5. Miradi ya REA inayotekelezwa maeneo ya chunya transfoma zinazowekwa na wakandarasi zina uwezo mdogo wa kufua umeme na mahitaji ni makubwa, je ni Kweli REA wanaruhusiwa kuweka trasfoma ndogo kwenye miradi yao?

6. Tanesco kuwekewa transfoma ndogo na wakandarasi wa REA kwenye maeneo yajayo Kia kuichukua na watu wanaongezeka, na mahitaji yanaongezeka, ni nani au ni Gharama Za Tanesco kuja kubadilisha hizo transfoma na kuweka kubwa au ni REA tena.

7. Kuna nguzo za zenge zina ziwekwe na Tanesco au REA na zimeanza kuanguka na kuletwa madhara maeneo ya Dar, Je Tanesco haioni ni hatari kutengeneza nguzoza zenge bila kuweka chuma na hasara kwa Taifa?
 
Pamoja na kelele tunazo zipiga mitandaoni, huwezi kuamini Bado Chunya wilayani hakuna umeme siku ya pili leo!!!
Kweli Tanesco haiogopi wala kelele za wapiga Kura wa serikali ya Samia.
 
Pamoja na kelele tunazo zipiga mitandaoni, huwezi kuamini Bado Chunya wilayani hakuna umeme siku ya pili leo!!!
Kweli Tanesco haiogopi wala kelele za wapiga Kura wa serikali ya Samia.
Makamba utamfanya nini? angekuwa Kalemani tayari angekuwa site kitambo sn
 
Kwa masikitiko makubwa Wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya hakuna umeme leo ni siku ya 7.

Na uongozi wa TANESCO mkoa na Wilaya wakiulizwa wanasema ulizeni makao makuu ya Tanesco.

Mwenye namba ya simu ya makao makuu ya TANESCO tafadhali.

=============

UPDATES...
Mkurugenzi Huduma kwa Wateja TANESCO, Martin Mwambene amesema “Kuna kazi ya kuvuta ‘faiba’ (mfumo wa mawasiliano wa ndani ya TANESCO), Watalaam wa Mkonga wa Taifa kutoka Isangawana kwenda Kambi Katoto, tuna kazi ya kukata miti kuanzia Kawetere kwenye njia kuu, hivyo njia (line) yote ya Chunya umeme umetolewa asubuhi utarudishwa jioni ya saa kumi na mbili.”
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tunaomba taarifa zifuatazo tukuhudumie tafadhali.
Jina
Eneo
Namba ya simu
Mita namba
Kitu maarufu
TANESCO Huduma Kwa Wateja
SIMU: 0748 550000
WhatApp: 0758346869.^OK
 
Kwa masikitiko makubwa Wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya hakuna umeme leo ni siku ya 7.

Na uongozi wa TANESCO mkoa na Wilaya wakiulizwa wanasema ulizeni makao makuu ya Tanesco.

Mwenye namba ya simu ya makao makuu ya TANESCO tafadhali.

=============

UPDATES...
Mkurugenzi Huduma kwa Wateja TANESCO, Martin Mwambene amesema “Kuna kazi ya kuvuta ‘faiba’ (mfumo wa mawasiliano wa ndani ya TANESCO), Watalaam wa Mkonga wa Taifa kutoka Isangawana kwenda Kambi Katoto, tuna kazi ya kukata miti kuanzia Kawetere kwenye njia kuu, hivyo njia (line) yote ya Chunya umeme umetolewa asubuhi utarudishwa jioni ya saa kumi na mbili.”
 

Attachments

  • IMG_2777.MP4
    1.9 MB
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tunaomba taarifa zifuatazo tukuhudumie tafadhali.
Jina
Eneo
Namba ya simu
Mita namba
Kitu maarufu
TANESCO Huduma Kwa Wateja
SIMU: 0748 550000
WhatApp: 0758346869.^OK

Haya ni mambo ya kizamani sana, inabidi muwe na tools za ku monitor sio kila kitu hadi mpigiwe simu.

Mita zipo digital lakin kuhudumia mpaka manual information.

Ni simple tu kuzifanyia monitoring, kama kuna issue wateja wenu wote wanazo namba za simu mnaweza kuanza kupiga kuwa mmeona kuna shida hivyo mnafika kutatua.
 
Kwa masikitiko makubwa Wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya hakuna umeme leo ni siku ya 7.

Na uongozi wa TANESCO mkoa na Wilaya wakiulizwa wanasema ulizeni makao makuu ya Tanesco.

Mwenye namba ya simu ya makao makuu ya TANESCO tafadhali.

=============

UPDATES...
Mkurugenzi Huduma kwa Wateja TANESCO, Martin Mwambene amesema “Kuna kazi ya kuvuta ‘faiba’ (mfumo wa mawasiliano wa ndani ya TANESCO), Watalaam wa Mkonga wa Taifa kutoka Isangawana kwenda Kambi Katoto, tuna kazi ya kukata miti kuanzia Kawetere kwenye njia kuu, hivyo njia (line) yote ya Chunya umeme umetolewa asubuhi utarudishwa jioni ya saa kumi na mbili.”
 

Attachments

  • 5605151-c1e9063ed07959816628598be0cd28e6.mp4
    19.3 MB
Kwa masikitiko makubwa Wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya hakuna umeme leo ni siku ya 7.

Na uongozi wa TANESCO mkoa na Wilaya wakiulizwa wanasema ulizeni makao makuu ya Tanesco.

Mwenye namba ya simu ya makao makuu ya TANESCO tafadhali.

=============

UPDATES...
Mkurugenzi Huduma kwa Wateja TANESCO, Martin Mwambene amesema “Kuna kazi ya kuvuta ‘faiba’ (mfumo wa mawasiliano wa ndani ya TANESCO), Watalaam wa Mkonga wa Taifa kutoka Isangawana kwenda Kambi Katoto, tuna kazi ya kukata miti kuanzia Kawetere kwenye njia kuu, hivyo njia (line) yote ya Chunya umeme umetolewa asubuhi utarudishwa jioni ya saa kumi na mbili.”
 
Kila siku hakuna umeme Tangu asubuhi hadi saa 12 Jioni.

Ofisi Za serikali na wazalishaji wakubwa wanaotumia umeme kila siku wanarudi wajumbani kwa sababu hawana kazi.

2. kazi ya kukata miti kuanzia Kawetere kwenye njia kuu, Itamalizika Lini Ili tujue tuna umeme wa uhakika na kuzalisha na kufanya kazi kwa uhakika?

3. Chunya yote in Low voltage, umeme ni mdogo kulingana na Matumizi hadi songwe, Je Tanesco ina mikakati gani au mpango gani kupunguza kama Sio kuondoa Tatizo hilo la umeme mdogo kwani mitambo mungu inaharibika.

4. Ni Lini Tanesco itaanza utaratibu wa kutoa taarifa au matangazo ya kuta umeme, kwa wateja na kufahamu siku na muda wana Kata na kurudisha?

5. Miradi ya REA inayotekelezwa maeneo ya chunya transfoma zinazowekwa na wakandarasi zina uwezo mdogo wa kufua umeme na mahitaji ni makubwa, je ni Kweli REA wanaruhusiwa kuweka trasfoma ndogo kwenye miradi yao?

6. Tanesco kuwekewa transfoma ndogo na wakandarasi wa REA kwenye maeneo yajayo Kia kuichukua na watu wanaongezeka, na mahitaji yanaongezeka, ni nani au ni Gharama Za Tanesco kuja kubadilisha hizo transfoma na kuweka kubwa au ni REA tena.

7. Kuna nguzo za zenge zina ziwekwe na Tanesco au REA na zimeanza kuanguka na kuletwa madhara maeneo ya Dar, Je Tanesco haioni ni hatari kutengeneza nguzoza zenge bila kuweka chuma na hasara kwa Taifa

Matengenezo yanaendelea
 
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tunaomba taarifa zifuatazo tukuhudumie tafadhali.
Jina
Eneo
Namba ya simu
Mita namba
Kitu maarufu
TANESCO Huduma Kwa Wateja
SIMU: 0748 550000
WhatApp: 0758346869.^OK
Hivi Tanesco inakuwaje mnashindwa kusambaza umeme ndani ya eneo la km 3 kutoka makao makuu ya Wilaya, hii ni aibu kwa shirika na Taifa. Yaani umeme uko maeneo ya mjini tu lakini ukitembea km 3 kutoka makao makuu ya Wilaya yalipo ni giza hii ni aibu sana.
 
Back
Top Bottom