TANESCO wilaya ya Kibaha ni wababaishaji sana

TANESCO wilaya ya Kibaha ni wababaishaji sana

Tanesco nina swali
Nyumba inadaiwa umeme mil 7 mzee ndio alifanya huo uhuni na amefariki tunalipa laki moja kila mwezi ili tununue umeme je nyumba hii inaweza ikaombewa mita nyingine kwa ajili ya wapangaji huku tukiendelea kulipa hiyo laki moja ya kila mwezi
Ufafanuzi

Kwa taratibu zetu nyumba yenye deni haiwezi kufungiwa mita nyingine kwa kuwa uzoefu unaonyesha kuwa wateja huwa wanaacha kutumia mita yenye deni na kuhamia mita mpya hivyo kusababishia shirika hasara.
 
Back
Top Bottom