Tanesco nina swali
Nyumba inadaiwa umeme mil 7 mzee ndio alifanya huo uhuni na amefariki tunalipa laki moja kila mwezi ili tununue umeme je nyumba hii inaweza ikaombewa mita nyingine kwa ajili ya wapangaji huku tukiendelea kulipa hiyo laki moja ya kila mwezi