TANESCO wilaya ya Kibaha ni wababaishaji sana

Ufafanuzi

Kwa taratibu zetu nyumba yenye deni haiwezi kufungiwa mita nyingine kwa kuwa uzoefu unaonyesha kuwa wateja huwa wanaacha kutumia mita yenye deni na kuhamia mita mpya hivyo kusababishia shirika hasara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…