Tetesi: TANESCO yakaidi maelekezo ya Rais, yaendelea kulipa watumishi hewa

Tetesi: TANESCO yakaidi maelekezo ya Rais, yaendelea kulipa watumishi hewa

Nomile

Member
Joined
Dec 5, 2012
Posts
99
Reaction score
122
Katika hali ya kushangaza, pamoja na nguvu kubwa anayotumia mheshimiwa rais inaonekana ni dhahiri kashindwa kudhibiti wafanya kazi hewa katika mashirika ya umma baada ya kubainika kuwa shirika la umeme nchini, TANESCO kukaidi amri ya rais na kuendelea kuwalipa watumishi hewa.

Chanzo cha habari cha kuaminika ndani ya shirika hilo kimethibitisha pasi na shaka kuwa meneja mwandamizi rasilimali watu anayefahamika kwa jina la Watson Mwakyusa ameendelea kuwalipa wafanyakazi hewa kuanzia January 2015 mpaka June 2016.

Mpaka tetesi hii ambayo inahitaji kufuatiliwa kwa karibu inatufikia, tayari kashalipotezea shirika zaidi ya milioni 40 mbali ya malipo ya NSSF na kodi, ambazo kwa makusudi kabisa kazilipa kwa wafanyakazi hewa. Iwapo atawalipa tena mwezi huu wa Julai, kiwango cha upotevu wa pesa kitazidi kuwa kikubwa zaidi.

Mpaka sasa haijajulikana kama yuko peke yake au yuko na viongozi wengine wa juu katika hili. Lakini unyamavu wao unaashiria kuwa wanawaweza kuwa pamoja naye katiki ubadhirifu huu au basi hawajajua hali ambayo inatafsiriwa kuwa ni uzembe wa hali yao na dharau kwa mheshimiwa rais.

Katika ufuatiliaji wa habari hii, imedhihirika wafanyakazi hewa wanaofaidika na ubadhirifu unaosemekana kutendwa na Bw. Mwakyusa wanatoka katika kanda ya pwani na Dar es Salaam.

Itakumbukwa kuwa ni meneja huyu huyu ambaye anayetuhumiwa kulitia hasara nyingine shirika hilo hilo la Tanesco ya zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa kufukuza hovyo bila kufuata utaratibu wa kisheria wafanyakazi ambao wameweza kushinda kesi mahakamani na kulipwa kiasi hicho cha pesa.

Kwa kuwa TANESCO ni shirika la umma na linawaumiza sana wananchi kwa kutotoa huduma stahiki kwa wateja kwa visingizio vya ukosefu wa pesa za kutosha, tunaomba mheshiwa rais kupitia kwa waziri wake asiyekuwa na mzaha Profesa Muhongo afuatilie kwa haraka na umakini tetesi hizi ili kunusuru pesa zaidi zinazoendelea kupotea ikiwamo na kuwachukulia hatua kali watakaobainika wanashirikiana na huyu meneja katika kuliumiza taifa. Ni katika uchunguz huo ukweli utajulikana.
 
Yeye kazi yake kuonea Walimu tu , naweza kusema mengi sema cyber crime itanizoa
 
Yaana anafukuza wafanyakazi "halisi" tena bila kufuata sheria anabakiza wafanyakazi "hewa" na kuendelea kuwalipa!!
 
Katika hali ya kushangaza, pamoja na nguvu kubwa anayotumia mheshimiwa rais inaonekana ni dhahiri kashindwa kudhibiti wafanya kazi hewa katika mashirika ya umma baada ya kubainika kuwa shirika la umeme nchini, TANESCO kukaidi amri ya rais na kuendelea kuwalipa watumishi hewa.

Chanzo cha habari cha kuaminika ndani ya shirika hilo kimethibitisha pasi na shaka kuwa meneja mwandamizi rasilimali watu anayefahamika kwa jina la Watson Mwakyusa ameendelea kuwalipa wafanyakazi hewa kuanzia January 2015 mpaka June 2016.

Mpaka tetesi hii ambayo inahitaji kufuatiliwa kwa karibu inatufikia, tayari kashalipotezea shirika zaidi ya milioni 40 mbali ya malipo ya NSSF na kodi, ambazo kwa makusudi kabisa kazilipa kwa wafanyakazi hewa. Iwapo atawalipa tena mwezi huu wa Julai, kiwango cha upotevu wa pesa kitazidi kuwa kikubwa zaidi.

Mpaka sasa haijajulikana kama yuko peke yake au yuko na viongozi wengine wa juu katika hili. Lakini unyamavu wao unaashiria kuwa wanawaweza kuwa pamoja naye katiki ubadhirifu huu au basi hawajajua hali ambayo inatafsiriwa kuwa ni uzembe wa hali yao na dharau kwa mheshimiwa rais.

Katika ufuatiliaji wa habari hii, imedhihirika wafanyakazi hewa wanaofaidika na ubadhirifu unaosemekana kutendwa na Bw. Mwakyusa wanatoka katika kanda ya pwani na Dar es Salaam.

Itakumbukwa kuwa ni meneja huyu huyu ambaye anayetuhumiwa kulitia hasara nyingine shirika hilo hilo la Tanesco ya zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa kufukuza hovyo bila kufuata utaratibu wa kisheria wafanyakazi ambao wameweza kushinda kesi mahakamani na kulipwa kiasi hicho cha pesa.

Kwa kuwa TANESCO ni shirika la umma na linawaumiza sana wananchi kwa kutotoa huduma stahiki kwa wateja kwa visingizio vya ukosefu wa pesa za kutosha, tunaomba mheshiwa rais kupitia kwa waziri wake asiyekuwa na mzaha Profesa Muhongo afuatilie kwa haraka na umakini tetesi hizi ili kunusuru pesa zaidi zinazoendelea kupotea ikiwamo na kuwachukulia hatua kali watakaobainika wanashirikiana na huyu meneja katika kuliumiza taifa. Ni katika uchunguz huo ukweli utajulikana.
Hii kweli ni tetesi, kwanini usitutajie hata hayo majina hewa na position zao ili iwe rahisi kufuatilia kama kweli walilipwa?
 
Kama wapo kazini,na wanafanya kazi siyo Hewa.Maana wanalipwa kwa wanachofanyia kazi
 
Sasa kama hali ndo hiyo basi rais anapoteza muda. Haiwezekani shirika la umma mtu anendelee kujifanya kichwa kipana. Lazima analindwa na hili dili watakuwa wengi. Usalama mpo kweli????
 
Habari nyingine zimekaa kimajungu majungu ukizinguana na mtu unakuja hapa unatunga uzi wako kuharibu naona kama jf inatumiwa na wachawi sasaivi maana mchawi sio paka ashike tunguli maneno yake tu uchawi tosha naona sasaivi uciku umekua sio sehemu yao sahihi kufanya uchawi wao naona wapo kidigital zaidi hasaa humuu jamani khaaa toooooo mch
 
Hayo majungu tu,mnataka mwenzenu afukuzwe kisa kawaudhi au kawabania kitu flani au labda we mtoa uzi ushafukuzwa kazi kwa uzembe wako.......,acheni majungu pigeni kazi
 
huu sasa ni utoto... jf sio gazeti la udaku.
 
Hello friends; I Nyamoni Warioba from Tanzania, I have been nominated for the YOUTH CITIZEN ENTREPRENEURSHIP Competition in the Best Idea 2016 Category. I would be happy if you support my idea with Comments and Votes. You can support my Ideas by:

a) Voting for it

b) Commenting and Giving positive feedback that can help to improve my project. Go to this link. www.entrepreneurship-campus.org/ideas/4/ click Best ideas 2016 then click VOTE FOR BEST IDEAS, all Nominees names will appear and then Select idea titled "EMPOWERING GIRLS THROUGH FORMING A FOOTBALL TEAM" you will see the name NYAMONI WARIOBA with a Ball photograph attached, Just click VOTE at the Orange bar.

" Please I need your Votes for winning this competition" Your votes and comments will be valued; VOTING deadline will be 31/08/2016. Please share with friends groups.
 
Katika hali ya kushangaza, pamoja na nguvu kubwa anayotumia mheshimiwa rais inaonekana ni dhahiri kashindwa kudhibiti wafanya kazi hewa katika mashirika ya umma baada ya kubainika kuwa shirika la umeme nchini, TANESCO kukaidi amri ya rais na kuendelea kuwalipa watumishi hewa.

Chanzo cha habari cha kuaminika ndani ya shirika hilo kimethibitisha pasi na shaka kuwa meneja mwandamizi rasilimali watu anayefahamika kwa jina la Watson Mwakyusa ameendelea kuwalipa wafanyakazi hewa kuanzia January 2015 mpaka June 2016.

Mpaka tetesi hii ambayo inahitaji kufuatiliwa kwa karibu inatufikia, tayari kashalipotezea shirika zaidi ya milioni 40 mbali ya malipo ya NSSF na kodi, ambazo kwa makusudi kabisa kazilipa kwa wafanyakazi hewa. Iwapo atawalipa tena mwezi huu wa Julai, kiwango cha upotevu wa pesa kitazidi kuwa kikubwa zaidi.

Mpaka sasa haijajulikana kama yuko peke yake au yuko na viongozi wengine wa juu katika hili. Lakini unyamavu wao unaashiria kuwa wanawaweza kuwa pamoja naye katiki ubadhirifu huu au basi hawajajua hali ambayo inatafsiriwa kuwa ni uzembe wa hali yao na dharau kwa mheshimiwa rais.

Katika ufuatiliaji wa habari hii, imedhihirika wafanyakazi hewa wanaofaidika na ubadhirifu unaosemekana kutendwa na Bw. Mwakyusa wanatoka katika kanda ya pwani na Dar es Salaam.

Itakumbukwa kuwa ni meneja huyu huyu ambaye anayetuhumiwa kulitia hasara nyingine shirika hilo hilo la Tanesco ya zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa kufukuza hovyo bila kufuata utaratibu wa kisheria wafanyakazi ambao wameweza kushinda kesi mahakamani na kulipwa kiasi hicho cha pesa.

Kwa kuwa TANESCO ni shirika la umma na linawaumiza sana wananchi kwa kutotoa huduma stahiki kwa wateja kwa visingizio vya ukosefu wa pesa za kutosha, tunaomba mheshiwa rais kupitia kwa waziri wake asiyekuwa na mzaha Profesa Muhongo afuatilie kwa haraka na umakini tetesi hizi ili kunusuru pesa zaidi zinazoendelea kupotea ikiwamo na kuwachukulia hatua kali watakaobainika wanashirikiana na huyu meneja katika kuliumiza taifa. Ni katika uchunguz huo ukweli utajulikana.
Umepuyanga mkuu,hakuna chochote chenye hata point 0.1 ya ukweli,nakuunganisha na watanzania wengi wenye umaskini wa fikra wakupenda kusikia tuu rais anafukuza watu kuliko kuona neema ya mipango mizuri ya rais..

Wachawi wengi huwa hawapendi mtu yoyote anayemwona mbele yake ana mafanikio,hii ni kutokana na roho ya kishetani iliyopo ndani ya mioyo yao..

Nimefatilia shilika hili muda mrefu nimegundua pesa huwa zinaenda wapi hasa ile miaka inayoishia na 5 au 0..

Fatilia kwa makini kama Tanwsco ni shilika la umma kwann lipo chini ya serikali ya chama cha... kwa 100%?

Note:-
Sitaki maswali rudi utafute ukweli mwenyewe,Eti baba rais,very sad..!
 
Back
Top Bottom