TANESCO yasaini mkataba wa kuzalisha Umeme Jua MW 150 Kwa Bilioni 275. Waziri Makamba apiga marufuku mauziano ya Umeme kwa Dola

Poa
 
Ujerumani wanatumia huu umeme wa upepo, nchi nzima imejaa hayo makata upepo. Na sisi tunao mwingi maeneo ya Singida kuelekea Arusha.

Afrika kwa ujumla ni tajiri sana, na mzungu anatuzidi kwa hujuma nyingi anazopenyeza katika hizi nchi.
 
Weka hapo ug wanazalisha megawat ngapi? Na kwa hizo us d

Manake solar 215 tsh bilion

Miradi yore pia ya mama na mwanae
Twende lazi
Toa upuuzi wako,huo ni mradi wa pamoja na megawatt ndio hizo 14 Kwa Zaidi ya bil.250

Hivyo hivyo ukienda Rusumo Falls Kuna mradi gharama ni kubwa kama zote
 
Unadhani mgt 2100 ni nyingi Kwa viwanda vikubwa? Kuna viwanda vya kuzalisha vyuma vinahitaji mgt 3500 kwa nchi kama ya kwetu ili tuwe na viwanda vikubwa tuwe na mgt 10000 mpaka 35000 ndiyo tutaweza hata kuuza umeme mkubwa
Nani amekwambia ni nyingi na issue sio viwanda tu hata sasa hivi raia hawapati umeme wa gharama nafuu wakati tuna vyanzo lukuki..., sasa kukimbilia na kuanza kuwaza mg 5000 wakati 2500 bado na unaongelea viwanda wakati hata raia hawana umeme wa nafuu vilevile unaongelea private sector wakuzalishie ili wakuuzie ili wewe ndio uuze naashiria kusema kwamba you have not looked at the whole equation....

 
Huo sio mradi wa nchi, ni mradi binafsi
Mradi Binafsi ambapo hao watu watawauzia Tanesco kwa bei gani kwa unit ?

Na je hio bei inaweza ikawa ndogo kama / kuliko gharama za uzalishaji wa unit kwenye Hydropower; Mwisho wa siku umeme ni huduma kwa nchi hakuna jambo la muhimu kama Nishati issue sio kuzalisha tu bali ni gharama pia...

By the way huo wakizalisha mchana wanawapa Tanesco (inawekwa kwenye grid directly) au wanatunza alafu wanawapa katika peak times (kukiwa na uhitaji ) yaani sio kuwauzia off-peak time kwa bei ya peak times....

Hayo yote inabidi tuyaweke kwenye consideration (electric generation kwa Tanzania na vyanzo vyetu haijawahi kuwa Tatizo); Kama hao ni ma-genius waende wakawekeze huko vijijini kwenye miundombinu migumu na wawauzia wateja directly (walifanya kina Mobisol et al); Kwa Tanesco kama chanzo ni kizuri wawekeze, kama ni mwekezaji basi auze cheaper kuliko kama Tanesco wangefanya wenyewe...

Huu utapeli wa kubinafsisha Nishati unaitafuta Europe mpaka kesho (watu wanapangiana bei wanavyotaka kwa mtaji wa mlipa kodi)
 
Ujerumani wanatumia huu umeme wa upepo, nchi nzima imejaa hayo makata upepo. Na sisi tunao mwingi maeneo ya Singida kuelekea Arusha.

Afrika kwa ujumla ni tajiri sana, na mzungu anatuzidi kwa hujuma nyingi anazopenyeza katika hizi nchi.
Germany nchi nzima imejaa makata upepo? Hii sio kweli, Germany wanatumia vyanzo vingi kuzalisha umeme. Huo wa upepo hauzalishi hata robo ya umeme wote

Tatizo kubwa lililopo kuamua kutumia vyanzo gani ni gharama za uzalishaji. Gharama za uzalishaji umeme kwa chanzo fulani zikiwa kubwa na gharama ya umeme itakua kubwa. Gharama ikiwa kubwa COP itakua kubwa
 
Swali kama miradi wa Nyerere wa Mega Watt 2015 umefikia asilimia zaidi ya 79, kulikuwa na haja gani na huu miradi?
 
Hapo umeambiwa sehemu tatu. Utalii, umwagiliaji na Umeme. Umeme gharama yake ni Tsh bilioni 300
Leta mgawanyo wa Kila sehemu usitafute pa kujifichia 🀣🀣

Hata gharama za mradi wa bwawa la Nyerere inasemwa hivyo hivyo Kilimo, kudhibiti mafuriko na Utalii sawa wewe kima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…