TANESCO yasaini mkataba wa kuzalisha Umeme Jua MW 150 Kwa Bilioni 275. Waziri Makamba apiga marufuku mauziano ya Umeme kwa Dola

Muulize kwanza hivi ukiwa 3 itaanza kukimbiia 8 kabla ya 5 au maanacm hata nusu tu hiyo 5000 hatijafikia au ni wale wanaopenda porojo za vijiweni sio
 
Swali kama miradi wa Nyerere wa Mega Watt 2015 umefikia asilimia zaidi ya 79, kulikuwa na haja gani na huu miradi?
Wa nyerere si haona 10% .mama mashungi mungu anamuona kww jinsi anavyoongoza hii nchi
 
Tanesco inasaini mikataba mingi kwa Sasa HV tofauti kbsa na wizaraaa yoyote
 
Leta mgawanyo wa Kila sehemu usitafute pa kujifichia 🤣🤣

Hata gharama za mradi wa bwawa la Nyerere inasemwa hivyo hivyo Kilimo, kudhibiti mafuriko na Utalii sawa wewe kima.
Huwezi kufananisha mradi unaozalisha umeme wa sola tu na unaofanya umwagiliaji na miundombinu ya utalii. Mchanganuo ndiyo huo nimekupa, Kuzalisha umeme bilioni 300. zingine umwagiliaji na kujenga njia ya umeme kutoka huko, barabara, fidia kuhamisha watu, fidia mashamba, nk nk.
 
Umeme wa jua na upepo siku zote kwa africa ni utapeli


Serikali inabidi iweke uwazi je watauza kwa bei gani $5 cents per kwh au $10 cents per kwh maana hapa ndipo maswali yapo. isije kuwa umeme wa gharama za juu. Mfano ule umeme wa Uganda wa juzi ni $8 cents lakini Museveni anataka wanunue kwa $5 cents
 
Hii nchi yetu sijui kwenye issue ya umeme tumemkosea Mungu nini maana kila siku ni ngonjera tu tumetumbukiza fedha nyingi sana kwenye Bwawa la Nyerere
 
Windmills zimejaa Ujerumani kuanzia kaskazini kule Hamburg mpaka hukuchini Ulm. Ni kweli wana vyanzo vingi vya nishati.
 
China wamemaliza kujenga largest hydropower source duniani ,Tanzania uwe umeme wa kizamani kwa sasa ?
Wapi nimesema ni teknolojia ya kizamani?
Alafu huwezi kulinganisha ufanisi wa Hydropower China na Tanzania. Climatic change impacts on biophysical features are spatial temporal.
Sisi umeme wa Hydropower mbona tunao kitambo... Na changamoto zake za kujirudia ni zile zile ukame...mafuriko...matope kujaa kwenye mabwawa...

NB: is a very conventional and risk technology.
Solution ya umeme wetu ni kuwa na energy mix kutoka vyanzo vingi vingi... Na si kupriotitize Hydropower pekee
China wamemaliza kujenga largest hydropower source duniani ,Tanzania uwe umeme wa kizamani kwa sasa ?
 
 
 
Wanini wakati tunategemea karibuni umeme wa bwawa la Nyerere?hii mikataba Inakuwa na capacity charge ambayo inahumiza Tanesco na Taifa.hii ni njia ya kuzipiga faida za Tanesco itakayotokana na na umeme wa bwawa la Nyerere.
 
Wanini wakati tunategemea karibuni umeme wa bwawa la Nyerere?hii mikataba Inakuwa na capacity charge ambayo inahumiza Tanesco na Taifa.hii ni njia ya kuzipiga faida za Tanesco itakayotokana na na umeme wa bwawa la Nyerere.
Nani kasema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…