TANESCO yatangaza kufanya maboresho kituo cha umeme Ubungo. Baadhi ya maeneo Dar, Zanzibar na Pwani kukosa Umeme

TANESCO yatangaza kufanya maboresho kituo cha umeme Ubungo. Baadhi ya maeneo Dar, Zanzibar na Pwani kukosa Umeme

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Dar es Salaam, 19 Februari 2025 - Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza mpango wa maboresho katika Kituo cha Kupokea, Kupooza, na Kusambaza Umeme cha Msongo wa Kilovoti 220 kilichopo Ubungo, Dar es Salaam. Maboresho haya yanatarajiwa kuanza Jumamosi, tarehe 22 hadi 28 Februari 2025.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANESCO, hatua hii inalenga kuboresha huduma kwa wateja kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya umeme katika maeneo ya Zanzibar, Dar es Salaam, na Pwani.

Kituo hicho kimeelemewa na mahitaji yaliyopo, hivyo kitafungwa kwa muda ili kuweka Mashineumeme (Transformer) mpya yenye uwezo wa MVA 300 ili kukidhi mahitaji ya umeme katika maeneo husika.

Snapinst.app_481038466_18483598477065303_2389549235567169417_n_1080.jpg
 
Dar es Salaam, 19 Februari 2025 - Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza mpango wa maboresho katika Kituo cha Kupokea, Kupooza, na Kusambaza Umeme cha Msongo wa Kilovoti 220 kilichopo Ubungo, Dar es Salaam. Maboresho haya yanatarajiwa kuanza Jumamosi, tarehe 22 hadi 28 Februari 2025.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANESCO, hatua hii inalenga kuboresha huduma kwa wateja kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya umeme katika maeneo ya Zanzibar, Dar es Salaam, na Pwani.

Kituo hicho kimeelemewa na mahitaji yaliyopo, hivyo kitafungwa kwa muda ili kuweka Mashineumeme (Transformer) mpya yenye uwezo wa MVA 300 ili kukidhi mahitaji ya umeme katika maeneo husika.

View attachment 3242032
Sawa sawa
 
uzuri ni kwajili ya kuimarisha utoaji huduma bora, nawaunga mkono kwa jitihada wanazopiga kila kukicha watanzania tuko nao bega kwa bega
 
Duuh kwahiyo week nzima hakutakiwa na umeme ama vipi ? Naona tangazo haliko wazi
 
Dar es Salaam, 19 Februari 2025 - Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza mpango wa maboresho katika Kituo cha Kupokea, Kupooza, na Kusambaza Umeme cha Msongo wa Kilovoti 220 kilichopo Ubungo, Dar es Salaam. Maboresho haya yanatarajiwa kuanza Jumamosi, tarehe 22 hadi 28 Februari 2025.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANESCO, hatua hii inalenga kuboresha huduma kwa wateja kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya umeme katika maeneo ya Zanzibar, Dar es Salaam, na Pwani.

Kituo hicho kimeelemewa na mahitaji yaliyopo, hivyo kitafungwa kwa muda ili kuweka Mashineumeme (Transformer) mpya yenye uwezo wa MVA 300 ili kukidhi mahitaji ya umeme katika maeneo husika.

View attachment 3242032
kwani hakuna routing!? si watuunganishe kwenye vituo vingine?

na je inashindikana nini kufunga hilo transformer pemben kdogo then wakimaliza wanaunga tu tunaendelea ? pathetic
 
Dar es Salaam, 19 Februari 2025 - Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza mpango wa maboresho katika Kituo cha Kupokea, Kupooza, na Kusambaza Umeme cha Msongo wa Kilovoti 220 kilichopo Ubungo, Dar es Salaam. Maboresho haya yanatarajiwa kuanza Jumamosi, tarehe 22 hadi 28 Februari 2025.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANESCO, hatua hii inalenga kuboresha huduma kwa wateja kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya umeme katika maeneo ya Zanzibar, Dar es Salaam, na Pwani.

Kituo hicho kimeelemewa na mahitaji yaliyopo, hivyo kitafungwa kwa muda ili kuweka Mashineumeme (Transformer) mpya yenye uwezo wa MVA 300 ili kukidhi mahitaji ya umeme katika maeneo husika.

View attachment 3242032
Hali hii ya joto kali.kwa nini wasisubirie jua lipungue kidogo? TANESCO wauaji
 
Dar es Salaam, 19 Februari 2025 - Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza mpango wa maboresho katika Kituo cha Kupokea, Kupooza, na Kusambaza Umeme cha Msongo wa Kilovoti 220 kilichopo Ubungo, Dar es Salaam. Maboresho haya yanatarajiwa kuanza Jumamosi, tarehe 22 hadi 28 Februari 2025.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANESCO, hatua hii inalenga kuboresha huduma kwa wateja kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya umeme katika maeneo ya Zanzibar, Dar es Salaam, na Pwani.

Kituo hicho kimeelemewa na mahitaji yaliyopo, hivyo kitafungwa kwa muda ili kuweka Mashineumeme (Transformer) mpya yenye uwezo wa MVA 300 ili kukidhi mahitaji ya umeme katika maeneo husika.

View attachment 3242032
Lakini Zanzibar si Wana zesco Yao kwanini wasifanye hayo maboresho upande wa Zanzibar kwanini watanganyika tunatwishwa mizigo ya wazanzibar?
 
Back
Top Bottom