Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uzalendo ndugu haya mashirika ya uma ni kama yamekua yakitenda matendo ya huruma kwa watanzania yamejitoa kwa kila namna kuwaudumia watanzania kila kukicha mekuunawazungumzia watanzania gani? au wewe na jamaa zako?
Naunga mkono hojaTanesco iwe isiwe wana nongwa na Mheshimiwa.
Your Excellency Dr. Samia Suluhu Hasan, hebu chunguza hili shirika,
wewe ni mmoja wa wanaokula kwa urefu wa kamba zao? huruma ipi unayoizungumzia?uzalendo ndugu haya mashirika ya uma ni kama yamekua yakitenda matendo ya huruma kwa watanzania yamejitoa kwa kila namna kuwaudumia watanzania kila kukicha meku
Hutaki wafanye maboresho Mama DJ Mbowe?Hili shirika hili!
ukitizama gharama za uzalishaji ni kama shirika linatoa hisani kwa watanzani kukuza uchumi wa nchiwewe ni mmoja wa wanaokula kwa urefu wa kamba zao? huruma ipi unayoizungumzia?
🤣🤣🤣Hiyo akili waitoe wapi?
Nimejiuliza hivyo pia. Sijui wanawahi nini!?Hali hii ya joto kali.kwa nini wasisubirie jua lipungue kidogo? TANESCO wauaji