TANESCO yatangaza mgawo wa umeme

Dawa ni kuondoa monopoly ya TANESCO na kubadilisha policy za sasa za umeme,ruhusu private investors wawekeze kwenye umeme kuanzia kwenye uzalishaji mpaka usambazaji then wape incentive kubwa kuanzia tax cut mpaka mikopo,bila kusahau very strong regulatory body!
 
Tunashukuru sana kwa michango yenu wote
 
Kweli hili Taifa letu sielewi linaelekea wapi jamani.. Sasa tufuate ushauri wa nani wadau??
 
Poleni sana Watanzania wenzangu. Mpaka leo mna discuss kuhusu mgao wa umeme.
 
Duh kama kweli Watanzania tunaanza hivi sijui itakuaje maana kila siku matatizo lukuki
 
Kwanza sio ajabu kuanza mgawo wa umeme, alishausemea tangu alipokataliwa kununua mitambo mibovu. Ilikuwa suala la muda tu. Mambo uote hayo ya kupambana si waliyajua katika uwezo wao?
 
Hivi ni kwanini tunapoteza hela nyingi kujaribu kuwaita watu waje kuwekeza ikiwa kama tunashindwa hata kuviendeleza vyanzo vyetu vya umeme ambavyo vipo tele. Tuna gas, maji, coal na upepo wa kutosha. Vyote hivi vinatushinda kuvitumia kutengenezea umeme? Au ndo emergency imetengenezwa makusudi ili Richmond izaliwe tena?
 
kuna kigezo gani mgao ni kwa watu wachache tuu?mimi jirani zangu sice mgao uanze hawajakatiwa sasa sijajua kigezo ni nini, ila nahisi pia TANESCO hakuna vichwa, ni vishoka na usanii usanii mwingi zaidi, sasa nini maana ya company au organisation performance? wao wanajipimaje? na kwanini waendelee kuwepo? hii nchi na viongozi wote laana tupu!!
 
It is likely political agenda with all nightmares
 
Watanganyika! Hebu tusemeni sasa kwa sauti moja kwamba imetosha! naomba kuuliza, hivi ni kitu gani Tanzania kwa sasa kipo shwari? nini kinaendeshwa na kuzaa matunda au kuhudumia wananchi ipasavyo? naomba nikumbushwe labda namwonea bwana mkubwa JK. Kama hakuna, basi naomba niseme kwa sauti kuu, kunajambo la kufanya la sivyo tunakoelekea ni kubaya zaidi, hebu niwakubushe kuwa ni miezi michache iliyopita tulihakikishiwa serikali inanunua mitambo kwa ajili ya kuepusha mgao wa umeme, pia ikasemekana mvua zilinyesha vizuri nmaji yalijaa, sawa najua pia yanapungua, lakini leo kunamgao, madai yao mashine zimeharibika tena zote, ya kihansi na SONGAS zote mara moja! hili linaleta wasiwasi,ukiacha hilo TANESCO wenyewe wanasema mgao ni mdogo lakini umeme unakatwa hata sehemu nyeti za uzalishaji mali, hospitali na balozini, tena kwa saa zaidi ya kumi mchana wakati umeme unahitajika zaidi kuzalisha. Kwangu mimi hii ni hujuma tena ya hali ya juu ilikudhibitisha maneno yaliyokwishasemwa au/na kutoa malipizi kwa mapambano ya ufisasdi yanayoendelea kwani tufahamu kwamba baadhi ya walengwa wapo TANESCO, mimi naamini kwa asilimia kubwa kwamba Huu NI UMAFIA wa baadhi ya watu wachache ambao kwa muda mrefu sasa wamekua wakiuhujumu uchumi wa watanganyika bila huruma ya maisha ya watoto, wajawazito na wazee wanakufa kwa njaa, magonjwa na huduma mbovu wakati nchi yetu ni TAJIRI, nasema haya kwa hasira kwasababu sasa hujuma inafanywa waziwazi bila kujali macho ya watanganyika milioni 40 yanayoshudia. Nasema hukumu ya hawa ni KUTENGANISHWA KICHWA NA KIWILIWILI HADHARANI.
 
Tatizo la kuchanganya siasa na taaluma. Dr rashid alitumia taaluma toka kwa wataalamu wake na wana siasa wanalieleza kisiasa.

Sasa ndio ukweli unathihiri
 
Mpaka sasa Dr.Rashid anafanya nini TANESCO wakati ameshindwa kazi,waliomteua wanamuogopa?
 
Hii NOOR OIL ilikuwa imekuja kwa gear ya kujenga pipeline kuanzia Dar mpaka mwanza na kujenga refinery in Dar. Hii ndiyo ilikuwa gear yao. Lakini ofisi zao zilikuwa Water Front (Former Nasaco Building) na MD wake ni dada mmoja, I think wa kiarabu au kihindi halafu inasadikika ni dadake/nduguye RA na ni mke wa mheshimiwa sana. Sasa kama ndivyo ilivyo then......wale wenye data tuanikieni kila kitu ili tujue mapema na tupige mbiu mapema kabisaaa!!!!
 

..well said Mkuu Sophist.........Itachukua muda sana wengi wetu kuelewa hilo hapo juu..........halafu mijitu isiyoelewa maneno kama hayo juu ndio inapewa mashirika yetu ya umma........damn...........anyway "NDIVYO TULIVYO"
 
Richmond ndugu yangu hawamo. Huyu mwandishi alichanganya tu. Wao ndio walipewa mwaka 2004 wakashindwa.NOIT sasa ni Qatarians, Russians and CCM!

Thanks alot for very prompt responses and your sources backing your arguments. Impressed!
Kama Richmond ina uhusiano na RA then impliedly NOIT nayo ina uhusiano. Kumbuka MD wake hapa TZ ni dada yake ambaye pia inasadikika anauhusiano wa kimapenzi au wa mke na mume mheshimiwa mkubwa saana. Hii pia ni prompt nyingine ya kuiangalia.
 
Then I think the general public was mislead through the media and even the Mwakyembe report as it was portraying as the whole was actually spent. Most of us has had that notion in our minds which was wrong.
 
Sasa hivi kila kitu ni vurugu tupu Tanzania hivyo kuna nini katika taifa langu mbona mimi sielewi tunakwenda wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…