TanFoam Arusha huyu Wakala wenu “Yahaya Mono Msuya” ni mwizi

TanFoam Arusha huyu Wakala wenu “Yahaya Mono Msuya” ni mwizi

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Kuna ndugu yangu alifika kununua godoro kwa wakala wa kampuni kongwe inayotengeneza magodoro ya TanFoam. Wakala mwenyewe anaitwa Yahaya Mono Msuya yuko Arusha mjini mtaa wa mjini kati karibu na soko kuu, yeye alitaka kununua godoro la Tanfoam badala yake walimshawishi kununua godoro la Besti wakidai nalo linatengenezwa na TanFoam.

Baada ya ushawishi wa muda na kutumia jina la TanFoam huyu ndugu yangu alikubali kulinunua godoro la futi 4 x6 unene inchi 8 kwa Tshs 250,000/= ila kwenye risiti walimwandikia 150,000/ kukwepa kodi ya Serikali. Baada ya kuanza kulitumia godoro lenyewe ni sawa na yale mengine yanayobonyea wala halifanani na TanFoam.

Ndipo alianza kufuatilia ktk maduka mengine na kukuta linauzwa kati ya Tshs 150,000/ na 170,000/ na ndipo alipogundua ametapeliwa na kuibiwa na hawa mawakala.

Baada ya kurudi kwa wakala tajwa hapo juu kuwaeleza ukweli walimkatalia kumrudishia hela yake waliyojipatia kwa njia ya udanganyifu na uwizi wa kuaminika.

Tunawaomba TanFoam kama inawezekana wawe wanatoa bei elekezi na kutueleza km kweli magodoro ya Besti ni ya kwao.

Serikali iwafuatilie hawa mawakala matapeli na wanaokwepa kodi stahiki ya Serikali. Huyu ndg yangu nimemshauri aende kwenye vyombo vya dola ikiwemo Jeshi la Polisi na TAKUKURU.
 
Huyo kaibiwa kwa uzembe wake mwenyewe.
Naunga mkono hoja yako mkuu, wewe unaenda kununua Tanfoam halafu unakubali kubadilisha mwenyewe halafu uje utuhumu tena umetapeliwa!

Kwanini usikomae tu wakupe unachokihitaji kwani unakataliwa na hela ni yako? Akigoma si unaenda pengine.
 
Naunga mkono hoja yako mkuu, wewe unaenda kununua Tanfoam halafu unakubali kubadilisha mwenyewe halafu uje utuhumu tena umetapeliwa!

Kwanini usikomae tu wakupe unachokihitaji kwani unakataliwa na hela ni yako? Akigoma si unaenda pengine.
Kwanza unakubali vipi risiti bei tofauti na uliyolipa?
 
Kuna ndugu yangu alifika kununua godoro kwa wakala wa kampuni kongwe inayotengeneza magodoro ya TanFoam. Wakala mwenyewe anaitwa Yahaya Mono Msuya yuko Arusha mjini mtaa wa mjini kati karibu na soko kuu, yeye alitaka kununua godoro la Tanfoam badala yake walimshawishi kununua godoro la Besti wakidai nalo linatengenezwa na TanFoam.

Baada ya ushawishi wa muda na kutumia jina la TanFoam huyu ndugu yangu alikubali kulinunua godoro la futi 4 x6 unene inchi 8 kwa Tshs 250,000/= ila kwenye risiti walimwandikia 150,000/ kukwepa kodi ya Serikali. Baada ya kuanza kulitumia godoro lenyewe ni sawa na yale mengine yanayobonyea wala halifanani na TanFoam.

Ndipo alianza kufuatilia ktk maduka mengine na kukuta linauzwa kati ya Tshs 150,000/ na 170,000/ na ndipo alipogundua ametapeliwa na kuibiwa na hawa mawakala.

Baada ya kurudi kwa wakala tajwa hapo juu kuwaeleza ukweli walimkatalia kumrudishia hela yake waliyojipatia kwa njia ya udanganyifu na uwizi wa kuaminika.

Tunawaomba TanFoam kama inawezekana wawe wanatoa bei elekezi na kutueleza km kweli magodoro ya Besti ni ya kwao.

Serikali iwafuatilie hawa mawakala matapeli na wanaokwepa kodi stahiki ya Serikali. Huyu ndg yangu nimemshauri aende kwenye vyombo vya dola ikiwemo Jeshi la Polisi na TAKUKURU.
Wewe ndio umeibiwa
 
Wakati naanza maisha nimeenda kununua godoro wakataka kunipiga eti waniuzie besti kwa bei hiyo ...bora super banco kidooogo
 
Anaibiwaaje kizembe hivi !? Wakati mwingine sio mbaya kufanya kautafiti kadogo kabla ya kununua kitu. Hii itakusaidia sana kupata kilicho bora kwa thamani/gharama sahihi ya soko (Value for money).
 
Takukuru!! Takukuru!! kuna mteja huku wanaumiza sana wananchi hawa majamaa
 
Kuna ndugu yangu alifika kununua godoro kwa wakala wa kampuni kongwe inayotengeneza magodoro ya TanFoam. Wakala mwenyewe anaitwa Yahaya Mono Msuya yuko Arusha mjini mtaa wa mjini kati karibu na soko kuu, yeye alitaka kununua godoro la Tanfoam badala yake walimshawishi kununua godoro la Besti wakidai nalo linatengenezwa na TanFoam.

Baada ya ushawishi wa muda na kutumia jina la TanFoam huyu ndugu yangu alikubali kulinunua godoro la futi 4 x6 unene inchi 8 kwa Tshs 250,000/= ila kwenye risiti walimwandikia 150,000/ kukwepa kodi ya Serikali. Baada ya kuanza kulitumia godoro lenyewe ni sawa na yale mengine yanayobonyea wala halifanani na TanFoam.

Ndipo alianza kufuatilia ktk maduka mengine na kukuta linauzwa kati ya Tshs 150,000/ na 170,000/ na ndipo alipogundua ametapeliwa na kuibiwa na hawa mawakala.

Baada ya kurudi kwa wakala tajwa hapo juu kuwaeleza ukweli walimkatalia kumrudishia hela yake waliyojipatia kwa njia ya udanganyifu na uwizi wa kuaminika.

Tunawaomba TanFoam kama inawezekana wawe wanatoa bei elekezi na kutueleza km kweli magodoro ya Besti ni ya kwao.

Serikali iwafuatilie hawa mawakala matapeli na wanaokwepa kodi stahiki ya Serikali. Huyu ndg yangu nimemshauri aende kwenye vyombo vya dola ikiwemo Jeshi la Polisi na TAKUKURU.
mnunuzi na muuzaji wote wezi, na wakwepa kodi. ukikubali wapunguze bei kwenye risiti wakati umewapa nyingi, ukubali pia kwamba siku kikinuka ukarudi kwao ile risiti itakuwa ni ushahidi wao kwamba walichukua kwako hiyo hela ndogo na sio ile kubwa unayoamini uliwapatia. safi sana.mmekoma.
 
Huyo kaibiwa kwa uzembe wake mwenyewe.
Bado haiondoi kosa lililotendwa na wakala

Kaiba Pesa, kakwepa ushauri wa serikali, amelaghai mteja kwenye choice ya godoro na pia anawahujumu tanfoam

If we think hii ni po then watanzania tuna matatizo makubwa ya uadilifu
 
Kuna ndugu yangu alifika kununua godoro kwa wakala wa kampuni kongwe inayotengeneza magodoro ya TanFoam. Wakala mwenyewe anaitwa Yahaya Mono Msuya yuko Arusha mjini mtaa wa mjini kati karibu na soko kuu, yeye alitaka kununua godoro la Tanfoam badala yake walimshawishi kununua godoro la Besti wakidai nalo linatengenezwa na TanFoam.

Baada ya ushawishi wa muda na kutumia jina la TanFoam huyu ndugu yangu alikubali kulinunua godoro la futi 4 x6 unene inchi 8 kwa Tshs 250,000/= ila kwenye risiti walimwandikia 150,000/ kukwepa kodi ya Serikali. Baada ya kuanza kulitumia godoro lenyewe ni sawa na yale mengine yanayobonyea wala halifanani na TanFoam.

Ndipo alianza kufuatilia ktk maduka mengine na kukuta linauzwa kati ya Tshs 150,000/ na 170,000/ na ndipo alipogundua ametapeliwa na kuibiwa na hawa mawakala.

Baada ya kurudi kwa wakala tajwa hapo juu kuwaeleza ukweli walimkatalia kumrudishia hela yake waliyojipatia kwa njia ya udanganyifu na uwizi wa kuaminika.

Tunawaomba TanFoam kama inawezekana wawe wanatoa bei elekezi na kutueleza km kweli magodoro ya Besti ni ya kwao.

Serikali iwafuatilie hawa mawakala matapeli na wanaokwepa kodi stahiki ya Serikali. Huyu ndg yangu nimemshauri aende kwenye vyombo vya dola ikiwemo Jeshi la Polisi na TAKUKURU.

obtaining money by False pretence may be ok! but theft by agent ingredients run short
 
Kitendo cha kukubali kosa la serikali kuibiwa kodi achilia mbali cha kuuziwa kanyaboya hapo huwezi tena kwenda kwenye mkondo wa sheria. Maana wote mmekula njama ya kuhujumu uchumi na hivyo wate ni watuhumiwa. EX TURPI CAUSA na IMPARI DELICTO
.
 
Habari za leo?
Nahitaji bei za magodoro halisi [original] ya TANFOAM Arusha ya vipimo hivi:
5'(futi)×6'(futi)×6"(inchi)
41/2'×6'×6"
4'×6'×6"
 
Back
Top Bottom