Tanform-Arusha tunaomba mtutengenezee barabara mliyo ijaza udongo kutokana na ujenzi wa ukuta wenu Moshono Losirwai

mwenyehekima

Member
Joined
Oct 16, 2014
Posts
25
Reaction score
16
Tafadhali Tanfom Arusha ondoeni udongo eneo la barabarani uliotokana na ujenzi wa ukuta katika eneo lenu la moshono Losirwat.

Kwa kweli mnatutesa hasa Watembea kwa miguu kwani mvua hizi zinasababisha matope na toyo zinashindwa kupita hivyo kututesa tunaporudi usiku kwani tunaachwa mbali na toyo hata usiku wa manane kwa sababu toyo haziwezi kupita hapo.

Tunaomba uongozi mfuatilie hilo kwa haraka kwa kweli tunateseka.

 
Pole mkuu,na elewa wewe kama jirani na kiwanda hicho ulitakiwa upewe taarifa kuhusu ujenzi huo na utoe maoni yako maana kimeathiri maisha yako,humu JF ni kulalama tu,fanya push back,vunja ukuta huo au tafuta treatable likajaze kifusi mlangoni kwao ,haya yakifanyika DC na team yake ya ulinzi na usalama itaingia hapo na kuleta mwafaka haraka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…