Barabara ya 4 hapo au ndo zile nyumba za mwanzo mwanzo karibu na road naonaga watoto WA kiarabu kabla ya ile lodgeNdio waliuwaw na mine kauliwa badae, walouwa Ni wasomali ambao mine aliwadhulumu baada ya kufanya wote biashara ya madini.
AiseeMi naishi Tanga ,hyo stori ipo hivi mume aliwadhulumu wasomali pesa/madini baada ya kuwa wanafanya biashara.
Hovyo wasomali waliamua kumuua na unaambiwa wasomali ukiwadhulumu wanadhuru mpak familia yako Mana wamaamini mmekula wote.
Jamaa Ni muhindi alouliwa
Mjadala ufungwe..Mi naishi Tanga ,hyo stori ipo hivi mume aliwadhulumu wasomali pesa/madini baada ya kuwa wanafanya biashara.
Hovyo wasomali waliamua kumuua na unaambiwa wasomali ukiwadhulumu wanadhuru mpak familia yako Mana wamaamini mmekula wote.
Jamaa Ni muhindi alouliwa
Pole sana mkuuDuh inatisha
Nasikitika na mauaji yanayoendelea nchi nzima! Na hili pepo lilianzia Uganda mwaka juzi na jana nisijue kwa sasaPole sana mkuu
Pole sana mkuuNasikitika na mauaji yanayoendelea nchi nzima! Na hili pepo lilianzia Uganda mwaka juzi na jana nisijue kwa sasa
Embu jazia habari yako...Mi naishi Tanga ,hyo stori ipo hivi mume aliwadhulumu wasomali pesa/madini baada ya kuwa wanafanya biashara.
Hovyo wasomali waliamua kumuua na unaambiwa wasomali ukiwadhulumu wanadhuru mpak familia yako Mana wamaamini mmekula wote.
Jamaa Ni muhindi alouliwa
Hapa kidogo inaweza ikawa kweli.maana tukisema kauwa mkewe na yeye kujiua.Ndio waliuwaw na mine kauliwa badae, walouwa Ni wasomali ambao mine aliwadhulumu baada ya kufanya wote biashara ya madini.
"Unaambiwa"Mi naishi Tanga ,hyo stori ipo hivi mume aliwadhulumu wasomali pesa/madini baada ya kuwa wanafanya biashara.
Hovyo wasomali waliamua kumuua na unaambiwa wasomali ukiwadhulumu wanadhuru mpak familia yako Mana wamaamini mmekula wote.
Jamaa Ni muhindi alouliwa
DramaHaya mambo magumu.
Majirani wanasema hawakusikia kelele zozote,sasa house girl kafanyaje?marehemu alikuwa na bguvu ya kuuwa watu wawili kwa wakati mmoja?tena kwa kuwanyonga
Binafsi nasubiri urudi mpaka Leo.Nchi hii Ina raia wakigeni wengi sana na hio ndio Moja ya mipango Yao baada ya miaka mitatu ntarud kwenye coment