Tanga: CHADEMA yakutana tena na Familia ya Ally Kibao, Yatoa Rambirambi

Tanga: CHADEMA yakutana tena na Familia ya Ally Kibao, Yatoa Rambirambi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio Taarifa ya sasa iliyosambazwa na Chama hicho

Katibu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Mhe. Amani Golugwa Leo tarehe 8 Oktoba 2024, akiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Tanga Mhe Jonathan Bahweje wamefika nyumbani kwa marehemu Ally Kibao, Jijini Tanga na kutoa rambirambi za pole kwa familia kutoka kwa viongozi na wanachama wa Kanda ya Kaskazini.

Rambirambi zimepokelewa na familia akiwepo Mke wa marehemu, dada mkubwa wa marehemu na watoto wawili wa marehemu.

Soma Pia:


Screenshot_2024-10-08-17-46-21-1.png
Screenshot_2024-10-08-17-50-56-1.png
 
Hii ndio Taarifa ya sasa iliyosambazwa na Chama hicho

Katibu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Mhe. Amani Golugwa Leo tarehe 8 Oktoba 2024, akiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Tanga Mhe Jonathan Bahweje wamefika nyumbani kwa marehemu Ally Kibao, Jijini Tanga na kutoa rambirambi za pole kwa familia kutoka kwa viongozi na wanachama wa Kanda ya Kaskazini.

Rambirambi zimepokelewa na familia akiwepo Mke wa marehemu, dada mkubwa wa marehemu na watoto wawili wa marehemu.

Soma Pia:


WANAANDAMANA TENA.
 
Back
Top Bottom