hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Kwahiyo wameshindwa kabisa ku deal na wauaji traditionally
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wote wana support chama kilichotenda uovu laana ziwapate na familia zao.Walaaniwe watekaji na wauaji wote popote walipo.
Kwenye maandamano ya kumtafuta ally kibao nyote mliingia mitini aah nyie kiboko kwa usaliti!Hii ndio Taarifa ya sasa iliyosambazwa na Chama hicho
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Mhe. Amani Golugwa Leo tarehe 8 Oktoba 2024, akiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Tanga Mhe Jonathan Bahweje wamefika nyumbani kwa marehemu Ally Kibao, Jijini Tanga na kutoa rambirambi za pole kwa familia kutoka kwa viongozi na wanachama wa Kanda ya Kaskazini.
Rambirambi zimepokelewa na familia akiwepo Mke wa marehemu, dada mkubwa wa marehemu na watoto wawili wa marehemu.
Soma Pia:
- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
- Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
- Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao
UVCCM unajua jambo njema?Ni jambo jema.
Yalikuwa ni maigizo na anaujua ukweli woteIla jambo jema zaidi ni kuwapata waliomuua.
Mama yenu mnayemuita msikivu alitoa tamko sasa ni mwezi hakuna aliyepatikana.
Huyu ndiyo mhusika mkuuSHUJAA KIBAO.
wambura report ya kibao kaiweka kapuni.na aliyeomba ripoti katulia tuli.anaogopa kuuliza
Mungu wetu awabariki sana, na Ally Mohammed Kibao aishi kwa Amani huko aliko inshallah hakuna ajuaye zaidi ya Mungu.Hii ndio Taarifa ya sasa iliyosambazwa na Chama hicho
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Mhe. Amani Golugwa Leo tarehe 8 Oktoba 2024, akiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Tanga Mhe Jonathan Bahweje wamefika nyumbani kwa marehemu Ally Kibao, Jijini Tanga na kutoa rambirambi za pole kwa familia kutoka kwa viongozi na wanachama wa Kanda ya Kaskazini.
Rambirambi zimepokelewa na familia akiwepo Mke wa marehemu, dada mkubwa wa marehemu na watoto wawili wa marehemu.
Soma Pia:
- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
- Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
- Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao
Damu ya binadamu nzitoMungu wetu awabariki sana, na Ally Mohammed Kibao aishi kwa Amani huko aliko inshallah hakuna ajuaye zaidi ya Mungu.
Hapo Akili imekukaa vizuri Safi sana Mwashambwa!Ni jambo jema.
Maralia++imekupanda kwenye kiparakipya,ngoja kipara kikomae akili itakukaa sawa!Kwenye maandamano ya kumtafuta ally kibao nyote mliingia mitini aah nyie kiboko kwa yusaliti!
...Ile ilikuwa namna ya kutupumbaza Watanganyika na kupooza joto, ila hakuna cha ripoti itakayokuja tolewa..HAKUNASHUJAA KIBAO.
wambura report ya kibao kaiweka kapuni.na aliyeomba ripoti katulia tuli.anaogopa kuuliza
Uko ward ya ngapi ulikolazwa!Maralia++imekupanda kwenye kiparakipya,ngoja kipara kikomae akili itakukaa sawa!
Tutapiga kelele hadi kieleweka,damu yake na iwalilie waliotenda uovu huu!...Ile ilikuwa namna ya kutupumbaza Watanganyika na kupooza joto, ila hakuna cha ripoti itakayokuja tolewa..HAKUNA
Damu ya Mzee huyu ikawe chachu ya mabadiliko HALISI ya HAKI na DEMOKRASIA nchini..RIP Mzee Kibao
Kweli wewe hamnazo,ulazwe na uwe unachati!Ndo maana kuna mdau kaomba jukwaa la wenye Akili kubwa na la wapumbavu,.la wapumbavu uwe mwenyekiti.Uko ward ya ngapi ulikolazwa!
Mzee huyo amedhulumiwa vibaya Sana haki yake ya kuishi. Naamini kwa dhati kabisa kwamba Maumivu waliyonayo wanafamilia wake aliowaacha hapa duniani ni makali Sana, hayapimiki kwa kipimo chochote kile. Mungu awavushe salama kwenye gharika hii kali Sana wanayokumbana nayo wanafamilia hawa, naamini pia kwamba itawachukua muda mrefu Sana kwao kuweza kurejea katika hali zao za kawaida kisaikolojia.Hii ndio Taarifa ya sasa iliyosambazwa na Chama hicho
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Mhe. Amani Golugwa Leo tarehe 8 Oktoba 2024, akiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Tanga Mhe Jonathan Bahweje wamefika nyumbani kwa marehemu Ally Kibao, Jijini Tanga na kutoa rambirambi za pole kwa familia kutoka kwa viongozi na wanachama wa Kanda ya Kaskazini.
Rambirambi zimepokelewa na familia akiwepo Mke wa marehemu, dada mkubwa wa marehemu na watoto wawili wa marehemu.
Soma Pia:
- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
- Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
- Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao
Amina,Amina, Amina, Mungu atatenda!Mzee huyo amedhulumiwa vibaya Sana haki yake ya kuishi. Naamini kwa dhati kabisa kwamba Maumivu waliyonayo wanafamilia wake aliowaacha hapa duniani ni makali Sana, hayapimiki kwa kipimo chochote kile. Mungu awavushe salama kwenye gharika hii kali Sana wanayokumbana nayo wanafamilia hawa, naamini pia kwamba itawachukua muda mrefu Sana kwao kuweza kurejea katika hali zao za kawaida kisaikolojia.
Mungu awaongoze kwenye suala hili.
Kwani tayari isha thibitishwa rasmi kua chama hicho ndiyo kimehusika!!??Na wote wana support chama kilichotenda uovu laana ziwapate na familia zao.
Mbona unauliza majibuKwani tayari isha thibitishwa rasmi kua chama hicho ndiyo kimehusika!!??
Pamoja na aliyetoa idhini anayelindwa na majini chura frogWaliofanya ule ukatili na waliowatuma wafe vifo vya mateso makali.