LGE2024 Tanga: Katibu mkuu wa chama cha sauti ya umma(SAU), Majalio Kyara amewasihi Wananchi kutokuuza utu wao Serali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
Katibu mkuu wa chama cha sauti ya umma(SAU) Ndugu Majalio Kyara amewasihi wananchi kutokubali kuuza utu wao kwa kurubunika na kuchagua viongozi wasiofaa katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Your browser is not able to display this video.

Pesa inatafutwa lakini utu hautafutwi msikubali kuuza utu wenu kwa kurubunika kwa njia yoyote.

Hayo yamesemwa akiwa katika mkutano wa kuwanadi wagombea katika Kata ya potwe, Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga.

Pia, soma: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…