je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Kuna watu kweli akili zao sijui kama Zina weza kufikiria vyema hasa katika kipindi hiki kigumu na Cha mpito
Tanga wameangalia mechi 2 mfululizo kwa KIINGILIO Cha elfu 10 na kuendelea .tena ndani ya siku tatu mtu atoe tena elfu 20 ili kuona fainali?
Au Azam wamewaambia muweke viingilio vikubwa ili watu wasije walipie ving'amuzi?
Acheni hizo habari aiseeee ! Punguzeni viingilio hivyo
Sijawai ona ngao ya jamiii hata moja nchin ikawa na KIINGILIO kuanzia elfu 20
Maisha ni magumu sio mchezo
Kwanza Tanga yenyewe kavu kinoma
Kila mtu anadaiwa vicoba sio mume sio mke
Punguzeni viingilio acheni kupima watu kama wanapenda Mpira au hawapendi
Majukwaa mtayakuta meupe hayo .watu wanawaangalia tu.
Mtachagua Moja wenyewe either kuingiza watu Bure kama yanga Africa au kupunguza KIINGILIO.
Yangu ni hayo na nimekaaa pale naangalia uwanja utakavyokuwa mweupe.
Tanga wameangalia mechi 2 mfululizo kwa KIINGILIO Cha elfu 10 na kuendelea .tena ndani ya siku tatu mtu atoe tena elfu 20 ili kuona fainali?
Au Azam wamewaambia muweke viingilio vikubwa ili watu wasije walipie ving'amuzi?
Acheni hizo habari aiseeee ! Punguzeni viingilio hivyo
Sijawai ona ngao ya jamiii hata moja nchin ikawa na KIINGILIO kuanzia elfu 20
Maisha ni magumu sio mchezo
Kwanza Tanga yenyewe kavu kinoma
Kila mtu anadaiwa vicoba sio mume sio mke
Punguzeni viingilio acheni kupima watu kama wanapenda Mpira au hawapendi
Majukwaa mtayakuta meupe hayo .watu wanawaangalia tu.
Mtachagua Moja wenyewe either kuingiza watu Bure kama yanga Africa au kupunguza KIINGILIO.
Yangu ni hayo na nimekaaa pale naangalia uwanja utakavyokuwa mweupe.