Pre GE2025 Tanga: Madiwani wapitisha pendekezo la kugawa Jimbo la Kilindi kuwa majimbo mawili tofauti

Pre GE2025 Tanga: Madiwani wapitisha pendekezo la kugawa Jimbo la Kilindi kuwa majimbo mawili tofauti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Naona lile wazo la Mbunge wa Kilindi alilolitoa mwaka 2021 kwamba Jimbo la Kilindi ligawanywe mara mbili limeanza kufanyiwa kazi.

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Kilindi mkoani Tanga lilipitisha mapendekezo ya kugawa jimbo la Kilindi kutoka jimbo moja lililopo kwa sasa na kuwa majimbo mawili.

Soma pia: Spika Dkt. Tulia aomba jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa

Jimbo la kwanza litakuwa la Kilindi litakalokuwa na kata 11 pamoja na jimbo la Songe litakalokuwa na kata 10, ambapo uwepo wa majimbo mawili kwenye Halmashauri hiyo utasaidia katika utoaji wa huduma kwa wananchi.

 
Hivi kwa nini ikifika wakati wa uchaguzi majimbo yana kuwa draft kuongezeka
 
Wakuu,

Naona lile wazo la Mbunge wa Kilindi alilolitoa mwaka 2021 kwamba Jimbo la Kilindi ligawanywe mara mbili limeanza kufanyiwa kazi.

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Kilindi mkoani Tanga lilipitisha mapendekezo ya kugawa jimbo la Kilindi kutoka jimbo moja lililopo kwa sasa na kuwa majimbo mawili.

Jimbo la kwanza litakuwa la Kilindi litakalokuwa na kata 11 pamoja na jimbo la Songe litakalokuwa na kata 10, ambapo uwepo wa majimbo mawili kwenye Halmashauri hiyo utasaidia katika utoaji wa huduma kwa wananchi.

Kodi zetuzinateketezwa tu kunufaisha kikundi kidogo cha mazezeta ya CCM yakiwa bungeni kazi yao kumsifia Samia tu hayana mchango kwa wapiga kura wao.
 
Back
Top Bottom