Tanga Mjini ni pagumu sana aisee

Tanga Mjini ni pagumu sana aisee

Mropoka Hovyo

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2023
Posts
446
Reaction score
1,253
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi

NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
 
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauri ngoja niendelee kupamba labda nitapa kazi

NB:NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Mno mno
 
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauri ngoja niendelee kupamba labda nitapa kazi

NB:NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
MUNGU atakusimamia mkuu.
 
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauri ngoja niendelee kupamba labda nitapa kazi

NB:NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Ndugu yangu huo mji sio wa kutafuta maisha, labda kama una ajira rasmi aidha ya serikalini au kampuni ndo utaishi life safi, tofaut na hapo, kama ni mbangaizaji hutoboi. Mi nimezaliwa na kukulia hapo napaelewa mwanzo mwisho. Umesema we ni mtu wa kazi ngumu, ingia arusha au dar maana sio mbali na tanga. Kuna maviwanda kibao, huku arusha kila cku mijengo inashushwa. Kwa tanga sikushauri kwa kweli utapoteza muda wako.
 
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauri ngoja niendelee kupamba labda nitapa kazi

NB:NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Kazi ngumu ziko nyingi sàna, wenyeji wanazikwepa. Nakutumia namba mçheki huyo utapiga tofali hadi upate nauli.
 
Ndugu yangu huo mji sio wa kutafuta maisha, labda kama una ajira rasmi aidha ya serikalini au kampuni ndo utaishi life safi, tofaut na hapo, kama ni mbangaizaji hutoboi. Mi nimezaliwa na kukulia hapo napaelewa mwanzo mwisho. Umesema we ni mtu wa kazi ngumu, ingia arusha au dar maana sio mbali na tanga. Kuna maviwanda kibao, huku arusha kila cku mijengo inashushwa. Kwa tanga sikushauri kwa kweli utapoteza muda wako.
Aende PPTL au EPPL hawezi kosa kibarua lkn masaa manane wanalipa ela isiyozid elfu 6.
 
Ulishaona ujenziVatcan city?au bagamoyo,Kilwa etc
Jiji limefikia climax yake halitakiwi kuzidi hapo,jiji la maraha,jiji la utalii,unakibeza lakini ukishangaa hurudi kwenu utazeekea humo humo
Unazeeka kwenye umaskini. Huo mji wanaouenjoy ni wafanyakaz wa serikalin/makampuni, wahindi, waarabu(baadhi) na wachaga baadhi wenye maduka ya nguo.
 
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauri ngoja niendelee kupamba labda nitapa kazi

NB:NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Nenda mkoa wa Pwani, Kibaha sanasana ni mkoa unaokuwa kwa kasi na una viwanda vingi sana vikubwa na vidogo. Tanga unapoteza muda.
 
Njoo mbeya mkuu....
Nyanya mbili 200
Bamia 300
Nyanya chungu 300
Limao 100
Kitunguu maji 100
Bado hujaishi?
Maana kinachosumbua mjini ni mboga.
Mbagala bamia 200 na nyanya chungu za mia anapata. Kitunguu hapa kwetu hamsini, karoti 100 na dagaa wa kukaanga jero anapata. Chumba cha elf 20 chenye umeme kipo
 
Ndugu yangu huo mji sio wa kutafuta maisha, labda kama una ajira rasmi aidha ya serikalini au kampuni ndo utaishi life safi, tofaut na hapo, kama ni mbangaizaji hutoboi. Mi nimezaliwa na kukulia hapo napaelewa mwanzo mwisho. Umesema we ni mtu wa kazi ngumu, ingia arusha au dar maana sio mbali na tanga. Kuna maviwanda kibao, huku arusha kila cku mijengo inashushwa. Kwa tanga sikushauri kwa kweli utapoteza muda wako.
Au ajaribu Zanzibar kwa kazi ngumu kuli ndiyo penyewe Maana watu wa kule siyo watu wa kazi Ngumu na ujenzi mwingi ni wa hoteli kutoka kwa wawekezaji wa kigeni.
 
Back
Top Bottom