Tanga Mjini ni pagumu sana aisee

Tanga Mjini ni pagumu sana aisee

Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi

NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Njoo Zanzibar, maeneo ya Shamba, Bwejuu, Matemwe ujenzi wa Mahoteli makubwa unaendelea
 
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi

NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Dah umenikumbusha mbali sana mkuu wakat nimemaliza chuo nilivamia Hilo jiji kutafuta ahueni ya maisha dar niliona ya moto sana,..niliondoka dar na begi langu na nguo mbili tu,..
Nikafkia maneno flani ivi wanapaita makorora Kwa mwanngu Mmoja naye anachumba kimoja ana ish na mkewe na watoto watatu sio poa Yan..
To make story short nilienda kujichanganya kwenye soko la makorora pale kutafuta chchte ule mji n ngumu sana aisee ,hela ni ngumu sana kuikamata,unakuta sokon pale mfanyabiashara mwenye mtaji mkubwa ana laki anaizungusha..
Viwandani uko nimezunguka sana ule mkoa golf yote Ile nikimaliza,..vingi vimeshajifia na vilivyobaki vinapumulia machine hakuna kazi..
Aisee nilipambana nilivoshka elfu hamsini nikarudi town tu.
 
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi

NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Afadhali hata Singida unaweza ukasikia honi za magari.
 
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi

NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.

Tanga sijawahi paelewa, kutoka Kilimanjaro /Arusha ukaenda Tanga, utapashangaa, yapo slow, mavivu, story, malengo Mjini Kabisa ni magofu hayana watu! Ajabu sana!
 
Back
Top Bottom