Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Matajir kibao Linda wameliweka rehani kwa didy kuna mtu anaejali?Ndio mkuu. Bora kufa maskini kuliko kuvuliwa ubingwa. Siku hizi watu wakienda Zenji wanaenda kimyakimya nakurudi kimyakimya hawavai wanaogopa kuulizwa kama rinda liko salama.
Nyau de adriz
Kuswali au kulala kidogo😉😊☺️Watu ikifika saa 7 mchana wanafunga biashara wanaenda kulala kidogo unategemea nini hapo?
Matajir kibao Linda wameliweka rehani kwa didy kuna mtu anaejali?
Acha kadanganya. BàdoNjoo mbeya mkuu....
Nyanya mbili 200
Bamia 300
Nyanya chungu 300
Limao 100
Kitunguu maji 100
Bado hujaishi?
Maana kinachosumbua mjini ni mboga.
Wazee wa kanzu, wanaenda kuswali. Walimaliza wanapita nyumbn kula, na kupumzka kidgo. Hapo biashara kufunguliwa saa 9 huko...Watu ikifika saa 7 mchana wanafunga biashara wanaenda kulala kidogo unategemea nini hapo?
Hiyo biashara sio ya kufanya tanga. Utapigwa na jua mpk ukome, na hautouza sana. Labda aingie masokoni kubeba mizigo(sana sana soko la pale mabanda) maana pale wanashushaga mihogo na matunda kutoka huko lushoto. Wanavipakia kwenda zanzibar.Kwanini usifanye uchinga wa kutembelea mtaani
Bado ni gharama ndogo sana mkuu🤣Acha kadanganya. Bàdo
Mkaa
Mafuta
Chumvi
Dagaa
Halafu usiwe wa kwanza kuwasha mkaa, utajuta.
Sina chuki, nimeeleza kilichopo. Waarabu wamejaa sana tanga, tena kwny hz barabara za namba ndo mitaa yao. Tanga kuna waarabu wenye maisha(hawa kazi yao ni maduka ya spea za pkpk na magar) na kuna waarabu choka mbaya(waarabu koko) na wako wengi kinoma. Nimesoma na hawa watu ko nawajua mwanzo mwisho.Una chuki na waarabu
Uko sahihi, ukiwa na pesa ya kuwekeza kwenye hzo fursa unapiga bao. Mimi nimezungumzia kwa mtu ambaye hana hili wala lile ndo anaanza moja, kwa tanga ni ngumu kutoboa.White collar jobs sawa, ila kuna vitu vingi tu Tanga vinalipa Traditional, hasa Kilimo cha Nazi, popoo, Uvuvi, Matunda, Usafiri etc.
Kuna watu nawajua wana Vidau tu na siku nzuri mpaka 10M mtu anafunga.
hata dodoma pamechangamka sana kwa mijengo aende uko inshallah atatoboa.Umesema we ni mtu wa kazi ngumu, ingia arusha au dar maana sio mbali na tanga. Kuna maviwanda kibao, huku arusha kila cku mijengo inashushwa.
Kwani hujaona wahindi koko? Au ni chuki zako za kijinga dhidi ya waaarabuSina chuki, nimeeleza kilichopo. Waarabu wamejaa sana tanga, tena kwny hz barabara za namba ndo mitaa yao. Tanga kuna waarabu wenye maisha(hawa kazi yao ni maduka ya spea za pkpk na magar) na kuna waarabu choka mbaya(waarabu koko) na wako wengi kinoma. Nimesoma na hawa watu ko nawajua mwanzo mwisho.
daah hlf wanasema biashara ya utumwa iliisha 🤯hawa watu wa kunyonga kabisa aisee, elf 6?Aende PPTL au EPPL hawezi kosa kibarua lkn masaa manane wanalipa ela isiyozid elfu 6.
Kama comment yangu umeitafsiri hivyo ni sawa pia. Kwasabb ni maono yako kwa nilichoandika. Ila sina chuki na iyo race.Kwani hujaona wahindi koko? Au ni chuki zako za kijinga dhidi ya waaarabu