sudy azizi
Member
- Sep 18, 2024
- 33
- 48
Njoo Zanzibar, maeneo ya Shamba, Bwejuu, Matemwe ujenzi wa Mahoteli makubwa unaendeleaNipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi
NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Kabisa.Tanga na kigoma co miji yakutafuta life.
Dah umenikumbusha mbali sana mkuu wakat nimemaliza chuo nilivamia Hilo jiji kutafuta ahueni ya maisha dar niliona ya moto sana,..niliondoka dar na begi langu na nguo mbili tu,..Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi
NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Zanzibar vibarua wanalipwaje mkuu ?Njoo Zanzibar, maeneo ya Shamba, Bwejuu, Matemwe ujenzi wa Mahoteli makubwa unaendelea
Afadhali hata Singida unaweza ukasikia honi za magari.Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi
NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi
NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Zanzibar vibarua wanalipwaje mkuu ?