Baiskeli anaendesha PM wa UK itakuwa Tanga kwa wadigo ? nimekwambia hizo Supermarket wanaingia wenyewe masikini wa Mwanza hawana uwezo zaidi ya kuangalia kama MOVIE tu , halafu ata hao wawekezaji bado hawajaleta tija Mwanza ndio maana masikini bado wamebaki kuwa kundi kubwa kuliko hao wanaoingia supermarket, Utajiri usioleta faida kwa masikini katu hauwezi futa umasikini na hilo ndio liko mwanza , Tanga mbona wawekezaji ni wengi tu Tanga cement, Rhino Cement, Kilimanjaro cement, kuna kiwanda kikubwa cha Cement cha wachina kinajengwa kisosora nafikir , kiwanda cha chai, kiwanda cha vipodozi, Rhino chokaa , chokaa maweni n.k Tanga ukilinganisha na sehemu kubwa ya nchi hii bado Tanga ni imara sana achana na maneno ya mtaani