dah zipoje hizoomsenge sana mzee kamuua mtoto wa watu kwa maugomvi yasiyomhusu. zee likikamatwa waniletee nimpe adhabu za kimochwari tunazowapa maiti wasumbufu.
Shemela maiti wasumbufu ndo zikoje na unazifanyaga nini?msenge sana mzee kamuua mtoto wa watu kwa maugomvi yasiyomhusu. zee likikamatwa waniletee nimpe adhabu za kimochwari tunazowapa maiti wasumbufu.
Umewahi kusikia ukiua macho ya unayemuua yanaweka kumbukukumbu ya tukio la mwisho kabla ya kufa? Na kwamba wakifanya uchunguzi wa mwili, wataona sura ya mtenda tukio na atakamatwa na polisi 😃Alishawanyonga ina maana walishakufa halafu akatoboa macho,kuna kitu kingine zaidi ya hapo...
Mauaji ni mauaji tu ndugu yangu, wapumzike kwa amani.Huyo jamaa angeua familia yake tu Sasa anaau Binti wa kazi anamhusu Nini siajabu alikuwa anategemewa na wazazi wake
Kama ndio hivyo basi muuaji pamoja na umri kusonga alikuwa mjanja mjanja kiasi frani, by the way hamna damu ya binadamu inapoteaga bure atakamatwa tu.Umewahi kusikia ukiua macho ya unayemuua yanaweka kumbukukumbu ya tukio la mwisho kabla ya kufa? Na kwamba wakifanya uchunguzi wa mwili, wataona sura ya mtenda tukio na atakamatwa na polisi 😃
Huyo mwanamke hafai, kwani hamuumizi mme tu bali hata watoto kwa.hayo maneno yakePunguzeni mdomo, wanaume wenye uthubutu wa kumpuuza mwanamke na kwenda kula tungi lako bar tuko wachache.
Nimeshashuudia kwa macho mke anamtukana matusi ya nguoni mume wake bila aibu, halafu mwingine anasema hawa watoto siyo wako na kila aina ya kashfa wakati watoto kiuhalisia huyo ndio biological father lakini mwanamke anamprovoke mwanaume makusudi kabisa.
Much Respect Mkuu your THINKING TOO BIGLabda wameuwawa na aliyewau kamteka huyo Mzee kasepa naye.
Life background ya Mtuhumiwa itafutwe, inawezekana pia wauaji wamemteka kupoteza ushahidi.
Nyumba ni mali ya nani?, je hilo eneo ni potential? ana deni mahala marehemu na nyumba ni collateral?, Kuna wateja waliowahi kutaka hiyo nyumba au mali yeyote ya mtuhumiwa na mtuhumiwa akagoma kuuza?
Investigation ya uhakika inahitajika sana kupata majibu.
Huyo ambaye tunasema ndio mtuhumiwa aka muuaji kwanini awatoboe macho, alikuwa anaficha nini kama alipanga kutoweka.
Kuna jambo nyuma ya pazia wenye kazi yenu nimewapa tips mjaribu kwenda deep down.
nitamwaga siri za kambi.Shemela maiti wasumbufu ndo zikoje na unazifanyaga nini?
Miaka 60 , mzaliwa WA mwaka 1964 unasema bado ni mwanamme wa siku hizi au hata habari haujasoma mkuu?Wanaume wa siku hizi wana hasira za kike sana. Wanaume wa miaka hiyo walikuwa wanacheza na principles za kiume tu sio hisia.
Mwanaume anayefanya maamuzi kwa principles za kiume ikitokea mke kamtibua atampa warning,akikaidi anafanya maamuzi ya kiume.
Mke anakutibua unabeba kibegi chako,unahama nyumbani muache akae na kiburi chake. Kuendelea kufosi kukaa na mwanamke mkorofi au asiyejielewa kwa mwanaume ni kujiandalia mkeka wa matatizo.
Sasa kama hapa huyu mzee kuua chanzo chake ni kipi, why asingesepa mapema tu kabla hasira hazijamvaa.
👍🤝Labda wameuwawa na aliyewau kamteka huyo Mzee kasepa naye.
Life background ya Mtuhumiwa itafutwe, inawezekana pia wauaji wamemteka kupoteza ushahidi.
Nyumba ni mali ya nani?, je hilo eneo ni potential? ana deni mahala marehemu na nyumba ni collateral?, Kuna wateja waliowahi kutaka hiyo nyumba au mali yeyote ya mtuhumiwa na mtuhumiwa akagoma kuuza?
Investigation ya uhakika inahitajika sana kupata majibu.
Huyo ambaye tunasema ndio mtuhumiwa aka muuaji kwanini awatoboe macho, alikuwa anaficha nini kama alipanga kutoweka.
Kuna jambo nyuma ya pazia wenye kazi yenu nimewapa tips mjaribu kwenda deep down.
Sawa angeua familia yake maana ndo anaogomvi nayoMauaji ni mauaji tu ndugu yangu, wapumzike kwa amani.