Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Huu ndio muda wao kutuoneshe ni watu wenye moyo sana na huruma mwingi, wenye kutoa bila choyo😂😂
Kupata taarifa za kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga, Rajabu Abdulrahamani amekabidhi Vishikwambi 8 vyenye thamani ya shilingi Milioni 5 kwenye Hospitali ya Wilaya ya Pangani kwa ajili ya kuwasaidia madaktari ili kuwarahisishia kufanya kazi zao.
Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Huu ndio muda wao kutuoneshe ni watu wenye moyo sana na huruma mwingi, wenye kutoa bila choyo😂😂
Kupata taarifa za kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga, Rajabu Abdulrahamani amekabidhi Vishikwambi 8 vyenye thamani ya shilingi Milioni 5 kwenye Hospitali ya Wilaya ya Pangani kwa ajili ya kuwasaidia madaktari ili kuwarahisishia kufanya kazi zao.
Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025