Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

Hakuna aliyesema wachaga pekee nachosema ni kwamba wachaga siyo wavivu, sasa wachaga utalinganisha na watu wa Tanga mkuu?
Kwamba Msambaa ni mvivu kuliko Mchaga? Ama mzigua? Na hata hao wa Tanga mjini wengi ni smart, mabilionea na ma multi milionea wengi Nchi hii wametoka Tanga ama shughuli zao nyingi zina Involve huo mkoa. Watu wa Tanga wana Exposure na Akili kushinda Maeneo mengi nchi hii.
 
Kwamba Msambaa ni mvivu kuliko Mchaga? Ama mzigua? Na hata hao wa Tanga mjini wengi ni smart, mabilionea na ma multi milionea wengi Nchi hii wametoka Tanga ama shughuli zao nyingi zina Involve huo mkoa. Watu wa Tanga wana Exposure na Akili kushinda Maeneo mengi nchi hii.
Tanga hii hii nayoifahamu? acha utani basi mkuu
 
Tanga hii hii nayoifahamu? acha utani basi mkuu
Ongea kwa data, mimi nimeongea kwa data juu Tanga ni mkoa wa Tatu Tanzania nzima kwa viwanda, nchi nzima mnasubiria Tanga kwanza Tusage Mawe, tukimaliza tutengeneze poda halafu Tu supply viwandani mtengeneze Rangi, Grout za Tiles na vinginevyo, karibia kila nyumba unayoiona Nchi hii part imetumika nguvu ya watu wa Tanga. Hapa naongelea Neelkhant na Maweni source ya karibia poda yote Nchi nzima.

Sisi tukasababisha msipauke, wengi hamuwezi kununua vipodozi vya nje, Vipodozi vya ndani karibia vyote kuanzia Baby care, Vasteline, Cocoa Butter, Family care, skala, podoa etc in short hakuna wilaya utaingia dukani usikute vipodozi vya Tppl ama Mamujee.

Unapoongelea Investment kubwa na matajiri wakubwa kama kina Gsm, Shoppers, Hao kina Home shopping, Bin slum, Oil Com etc wote asili yao ni Huko Tanga. Na hata ambao hawatoki Tanga kama Kina MO na Bakhresa utakuta wana strong connection huko.

Hapo Bado cement, Matunda, umeme, spices na vitu kibao.

In short kuuita mkoa ambao kila mwaka upo Top 10 ya kuchangia pato la Taifa kama wa wavivu ni "uvivu" wa kufikiri.
 
Ongea kwa data, mimi nimeongea kwa data juu Tanga ni mkoa wa Tatu Tanzania nzima kwa viwanda, nchi nzima mnasubiria Tanga kwanza Tusage Mawe, tukimaliza tutengeneze poda halafu Tu supply viwandani mtengeneze Rangi, Grout za Tiles na vinginevyo, karibia kila nyumba unayoiona Nchi hii part imetumika nguvu ya watu wa Tanga. Hapa naongelea Neelkhant na Maweni source ya karibia poda yote Nchi nzima.

Sisi tukasababisha msipauke, wengi hamuwezi kununua vipodozi vya nje, Vipodozi vya ndani karibia vyote kuanzia Baby care, Vasteline, Cocoa Butter, Family care, skala, podoa etc in short hakuna wilaya utaingia dukani usikute vipodozi vya Tppl ama Mamujee.

Unapoongelea Investment kubwa na matajiri wakubwa kama kina Gsm, Shoppers, Hao kina Home shopping, Bin slum, Oil Com etc wote asili yao ni Huko Tanga. Na hata ambao hawatoki Tanga kama Kina MO na Bakhresa utakuta wana strong connection huko.

Hapo Bado cement, Matunda, umeme, spices na vitu kibao.

In short kuuita mkoa ambao kila mwaka upo Top 10 ya kuchangia pato la Taifa kama wa wavivu ni "uvivu" wa kufikiri.
Hawa ni waarabu na wahindi siyo watanzania, taja akina Mokiwa, Kilonzo, Makamba
 
Hawa ni waarabu na wahindi siyo watanzania, taja akina Mokiwa, Kilonzo, Makamba
1. Kuita waarabu na wahindi sio Watanzania kunaonesha upeo wako, waarabu wapo Tanga for more than 1000 years kabla ya wengi hao unaowataja hata hawajahamia Tanzania.

2. Hao unaowataka wewe pia wapo wa kutosha tu, mfano Hapo juu nimekuambia Kina MO na Bakhresa wana connection kubwa mkoa huo, mfano wa hio connection ni Shehoza kwa Bakhresa, ambaye for years yeye ndio ana supply Bidhaa za Bakhresa, Ana ukwasi wa kutosha tu kurival Multi millionaire yoyote Nchi hii, na Sio yeye tu wapo wasambaa wengi wana Hela Tanga kina Nyinda, Shambalai na wengineo.

3. Hujanijibu swali langu, Unakuaje Mvivu at same time uchangie pato la Taifa kwa wingi? Tanga hatutegemei migodi ama Maliasili kama Mbuga etc, tunachapa kazi tunalima, tuna Viwanda, tuna wafanyabiashara etc pato la Taifa tupo nafasi ya 5 mwaka 2023, tukitofautiana kidogo na Arusha Wote Trilioni 8.8 ni mikoa 3 tu ambayo Imeipita Tanga sana Kwa maana Ya Dar, Mwanza na Mbeya, Kama Tanga ni Wavivu hio mikoa mingine ni kina nani? WAFU?

source
 
Umewahi ona mchaga mkulima, mfugaji, mvuvi? Kwa taarifa yako hakuna kabila wavivu km wachaga. Wachaga ni wachuuzi si wazalishaji.

Tafuta kufahanu zaidi uujue kweli kwa hapo Naona bado hujauujua ukweli.
Na ni vizuri uwe unaandaka ukiwa umeshaujua ukweli.
 
Back
Top Bottom